Wanawaza mihamara waliyomrushia Fei TotoKimyaaa. Hakuna tena maneno maneno na wala
hawafurahii usajili wake. Hii maana yake nm jaman
Sisi tulikuwa tunataka dogo apate haki yake aondoke. Wala hatukuwahi kumtaka.Kimyaaa. Hakuna tena maneno maneno na wala
hawafurahii usajili wake. Hii maana yake nm jaman
Na mkachanga 😁😁😁😁Sisi tulikuwa tunataka dogo apate haki yake aondoke. Wala hatukuwahi kumtaka.
Mnaoumia ni nyinyi Yanga. Mlijidai kubana makalio, mpemba alipogusa tu mkachanua na vijambo juu.
Dogo kaenda kwenye klabu iliyomtaka.
sanaWanawaza mihamara waliyomrushia Fei Toto
kweli kabisaMashabiki wengi wa simba (nasisitiza siyo wote) ni bendera fuata upepo, halafu ni mbumbumbu.
endeleeni kumchangiakawatia dole sio la nchi hii....
mweeeSisi tulikuwa tunataka dogo apate haki yake aondoke. Wala hatukuwahi kumtaka.
Mnaoumia ni nyinyi Yanga. Mlijidai kubana makalio, mpemba alipogusa tu mkachanua na vijambo juu.
Dogo kaenda kwenye klabu iliyomtaka. Wapemba si watu wema aisee.
sasaivi tunajadili bandari, msitutoe kwenye reli. fei toto ndo kitu gani?Kimyaaa. Hakuna tena maneno maneno na wala
hawafurahii usajili wake. Hii maana yake nm jaman
Tumecheza nusu msimu bila yeye na tumefanikiwa saaana. Tutaumia na niniSisi tulikuwa tunataka dogo apate haki yake aondoke. Wala hatukuwahi kumtaka.
Mnaoumia ni nyinyi Yanga. Mlijidai kubana makalio, mpemba alipogusa tu mkachanua na vijambo juu.
Dogo kaenda kwenye klabu iliyomtaka. Wapemba si watu wema aisee.
hahahahaaasasaivi tunajadili bandari, msitutoe kwenye reli. fei toto ndo kitu gani?
Wanamdai pesa waliomchangia kwenda CAS wakiongozwa na Andazi Ahmed Ally. Naye kasema hatoi hata mia dadadekiKimyaaa. Hakuna tena maneno maneno na wala
hawafurahii usajili wake. Hii maana yake nm jaman
safi sanaWanamdai pesa waliomchangia kwenda CAS wakiongozwa na Andazi Ahmed Ally. Naye kasema hatoi hata mia dadadeki
Na nyie washabiki wengi wa Yanga ni wapumbavu sanaMashabiki wengi wa simba (nasisitiza siyo wote) ni bendera fuata upepo, halafu ni mbumbumbu.
mmmmhNa nyie washabiki wengi wa Yanga ni wapumbavu sana
poleni kwa kutapeliwaSemaji la KAFU linatudanganya sana sisi mashabiki wa timu MBUMBUMBU, alituhamsasisha tumchangie mil. 60 Tapeli Fei za kwenda KASI kumbe wametufanyia utapeli
Alafu Tapeli linasena halijui nani aliyemchnagia na ambaye hajamchangia kwahiyo hawezi kuwarudishia hizo pesa.