Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we sio tu hukai kanda ya ziwa hata kanda ya kati haupo!,sidhani kama we ni mpishi hodari maana wanawake wapishi msusa wanaujua!..😂Msusa..
😄😄😄😄bado haujasemaaa...yaniii badooowe sio tu hukai kanda ya ziwa hata kanda ya kati haupo!,sidhani kama we ni mpishi hodari maana wanawake wapishi msusa wanaujua!..😂
Unaongeza nguvu za kike na kiume...🙄Unasaidia nini mkuu?
Hata Dodoma upo ni dawa .dawa ya tumbo hiyo chungu haswa kwenye jina ngoja waje wenyewe...
Ndaba ova waka, nze nva MasakaOmushunshu
Unaitwa mzugwa