Jina la mpenzi wa zamani layumbisha ndoa

Jina la mpenzi wa zamani layumbisha ndoa

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Ni miezi miwili imepita tangu ndoa hii imefungwa,lakini iko kwenye misukosuko mikubwa baada ya mume kila akilala amekuwa akiota ndoto na kujikuta akitamka kwa sauti jina la mpenzi wake wa zamani kabla hajaoa,binti analalamik kuwa hata wakati wa "gemu"jamaa utamu ukikolea anajikuta anatamka jina hilo,binti anataka kudai talaka!!!!Adai au aamue kuvumilia?Maana akimuuliza mume wake anamwambia asihofu kwani yeye ndo mke wa ndoa na hana mahusiano na huyo mdada kwa muda huu!!
 
Daaahhh
miezi miwili tu mmhh
Kama huyo kaka yuko hivyo
Basi ye ameoa ile ya usanii tu
Yaelekea akili yake na moyo wake
uko kwa mtu mwingine.. kweli hawezi hata
kuficha hii hatari.. usema ukweli huyo dada anatakiwa aanze kufikiria realy hard kuhusu hili sababu naona kapenda asipopendwa na tabia kama hii no ngumu sana kubadilisha ..
 
Mie nadhani inatakiwa atafute mechanisms ya kumfanya aidha amuote yeye au aache kuota au hata yeye msikilizaji aache kusikia. Moja ya mbinu ni yeye huyo dada kuigiza kama naye anaota mpenzi wake wa zamani, hata kulala na radio ipo on ili asimsikie ninahakika huyo mwanaume akiona hasikiwi ataacha kuota. Kuota gani huko kama si makusudi, humtaki mtu si unamwambia kuliko kumletea vituko!!! ebo!
 
Mie nadhani inatakiwa atafute mechanisms ya kumfanya aidha amuote yeye au aache kuota au hata yeye msikilizaji aache kusikia. Moja ya mbinu ni yeye huyo dada kuigiza kama naye anaota mpenzi wake wa zamani, hata kulala na radio ipo on ili asimsikie ninahakika huyo mwanaume akiona hasikiwi ataacha kuota. Kuota gani huko kama si makusudi, humtaki mtu si unamwambia kuliko kumletea vituko!!! ebo!
Hivi kweli unaweza kumkataza mtu kuota?????
 
Hivi kweli unaweza kumkataza mtu kuota?????
Hamna muotaji hapo ni msanii tu. Inawezekana na huyo mwanamke alilazimisha ndoa. Kuna watu wanadhani pesa zao zinaweza kununua upendo na hatimaye au ndoa na hatimaye upendo. Maisha ni safari ndefu saana kujifanya unavumilia visivyovumilika ni kujitesa na kupunguza furaha tu.
 
Hamna muotaji hapo ni msanii tu. Inawezekana na huyo mwanamke alilazimisha ndoa. Kuna watu wanadhani pesa zao zinaweza kununua upendo na hatimaye au ndoa na hatimaye upendo. Maisha ni safari ndefu saana kujifanya unavumilia visivyovumilika ni kujitesa na kupunguza furaha tu.
Ok sasa
unafikiri jamaa anajifanya anaota?? Ni sababu gani tu unadhani inayomfanya afanye hayo kwa mkewe??
 
Inategemea huyo binti kaingiaje kwenye hiyo ndoa, kama alimuingilia mwenzie akamtoa kwa mbinu zake, alitegemee hilo. Jina litatajwa mpaka akimbie mwenyewe, bado sasa wakigombana mashtaka yote yatakua yanaenda kwa huyo anaetajwa jina. Kwa kawaida sign ya kwanza ya kumpenda mtu ni kumtajataja hata kwenye story za kawaida, ndugu kama hutajwi basi ujue umedandia kwa mbele. Sioni cha kushauri hapo nachoweza kusema asubiri then time will tell.
 
Ok sasa
unafikiri jamaa anajifanya anaota?? Ni sababu gani tu unadhani inayomfanya afanye hayo kwa mkewe??
Hamtaki na hana confo ya kumwambia hamtaki. Kwahiyo ni miongoni mwa vituko. Subiri kama haitafuta post nyingine anamletea mwanamke hapo na kusema rafiki au anapokea SMS za mpenzi wake wa zamani. Infact, hakuwa tayari kumuoa huyo binti. Wanatakiwa wakae chini ili wajue wanasonga mbele au ndio wameshafika mbele na kila mtu aanze maisha yake. Wewe ndoto gani mfululizo za mtu huyohuyo. Ndoto mara nyingi ni matokeo ya kile anachowaza mtu, sasa wewe yeye anamuwaza huyo mwanamke for two months. Duh usanii duniani hautaisha. Unalala jamaa ananung'unika pembeni huku akitaja jina la mwanamke mwingine.
 
Hamtaki na hana confo ya kumwambia hamtaki. Kwahiyo ni miongoni mwa vituko. Subiri kama haitafuta post nyingine anamletea mwanamke hapo na kusema rafiki au anapokea SMS za mpenzi wake wa zamani. Infact, hakuwa tayari kumuoa huyo binti. Wanatakiwa wakae chini ili wajue wanasonga mbele au ndio wameshafika mbele na kila mtu aanze maisha yake. Wewe ndoto gani mfululizo za mtu huyohuyo. Ndoto mara nyingi ni matokeo ya kile anachowaza mtu, sasa wewe yeye anamuwaza huyo mwanamke for two months. Duh usanii duniani hautaisha. Unalala jamaa ananung'unika pembeni huku akitaja jina la mwanamke mwingine.
Duhhh
ni miezi miwili tu..
Haya mkuu nimekusoma..
Sasa unafikiri jamaa anataka bibie
Amwache ili ye asionekane mmbaya au.???
 
Duhhh<br />
ni miezi miwili tu..<br />
Haya mkuu nimekusoma..<br />
Sasa unafikiri jamaa anataka bibie<br /
Amwache ili ye asionekane mmbaya au.???
unajua watu wengi hawana amani katika maisha ya ndoa. Aidha wanasubiri sababu itokee na km haitokei wanaweza kuianzisha kwa vituko, au wanaogopa watu kuchukua uamuzi, au dini zao na wengine wanaishi tu kwasababu wanawaonea huruma wenzi wao.
 
unajua watu wengi hawana amani katika maisha ya ndoa. Aidha wanasubiri sababu itokee na km haitokei wanaweza kuianzisha kwa vituko, au wanaogopa watu kuchukua uamuzi, au dini zao na wengine wanaishi tu kwasababu wanawaonea huruma wenzi wao.

Dahhhhh
Kweli ka ulivyosema mwanzo
ni usanii tu..asante kwa majibu
yako yote.. 🙂
 
Kabla wakati wa uchumba alikuwa hamtaji? au ndio mambo ya kuolewa na bikira? haya mambo bwana ndio unapokuja umuhimu wa microphone test, ili usije jut badae. anakuwa na wewe huku anaendelea kuchombeza na bibi yake wa zamani sababu tu wewe unasubiria ndoa. vumilia umeyataka mwenyewe
 
Ni miezi miwili imepita tangu ndoa hii imefungwa,lakini iko kwenye misukosuko mikubwa baada ya mume kila akilala amekuwa akiota ndoto na kujikuta akitamka kwa sauti jina la mpenzi wake wa zamani kabla hajaoa,binti analalamik kuwa hata wakati wa "gemu"jamaa utamu ukikolea anajikuta anatamka jina hilo,binti anataka kudai talaka!!!!Adai au aamue kuvumilia?Maana akimuuliza mume wake anamwambia asihofu kwani yeye ndo mke wa ndoa na hana mahusiano na huyo mdada kwa muda huu!!


The way thread imekaa ni kama ya walakini kiana... But hata hivyo ukifunga ndoa unapata majaribu mengi ambayo yanawapa majaribu ya imani na mapenzi mlo nayo juu ya kila mmoja - ni wazi kua inajulikana mwanaume lazima alikua na wanawake wengine kipindi cha nyuma hivyo tofauti iliopo ni kwamba tu anamtaja huyo Ex... Katika majaribu yaliyopo kwenye ndoa hilo tatizo ni dogo ila sababu huyu dada ni 2 months old in marriage yaweza mchanganya... Mapenzi ya kweli juu ya mtu huchukua mda kuisha, dada ajitaidi kuelewa kua huyo kaka nae mwanadamu na sidhani kama anapenda hivyo anavyofanya.... Ila uzuri maamuzi ni yake dada kusamehe au kutosamehe....
 
Ndoa hii inayumba mbaya kwani leo nimepata taarifa kuwa hakuna mawasiliano kati ya wanandoa hawa,hawasalimiani wala kuzungumza wanapoamka asubuhi kila m2 na hamsini zake
 
Ndoa hii inayumba mbaya kwani leo nimepata taarifa kuwa hakuna mawasiliano kati ya wanandoa hawa,hawasalimiani wala kuzungumza wanapoamka asubuhi kila m2 na hamsini zake
 
Karogwa huyo. Wife apige maombi. Kwani mtu lazima kuota au kutaja majina wakati wa majambozi. Nguvu za giza zipo. Huyo dada apige maombi mwenzie atakuwa kamkalia vibaya labda alitaka aolewe yeye. Sidhani kama ni usual mtu kuota nakuongea majina. Eeh . Uchawi upo jamani mpeni yesu au mtume ndoa zenu awalindie! Kama hana evidence kuwa wanendelea, ajue yeye bado ni chaguo ila mwenzie anafanya kitu mbaya!
 
Kabla wakati wa uchumba alikuwa hamtaji? au ndio mambo ya kuolewa na bikira? haya mambo bwana ndio unapokuja umuhimu wa microphone test, ili usije jut badae. anakuwa na wewe huku anaendelea kuchombeza na bibi yake wa zamani sababu tu wewe unasubiria ndoa. vumilia umeyataka mwenyewe

hapo kwenye bold nimepata msamihati mpya leo hahahahahah
 
Ni dhahiri kuwa jamaa hamtaki huyo mwanamke. Bado inabidi abebe lawama kwa kukubali kufunga ndoa ambayo haitaki. Miezi miwili ni michanga mno kwa mtu kuanza migogoro kwani sasa ilibidi wawe na harufu ya 'asalimwezi'.
 
Karogwa huyo. Wife apige maombi. Kwani mtu lazima kuota au kutaja majina wakati wa majambozi. Nguvu za giza zipo. Huyo dada apige maombi mwenzie atakuwa kamkalia vibaya labda alitaka aolewe yeye. Sidhani kama ni usual mtu kuota nakuongea majina. Eeh . Uchawi upo jamani mpeni yesu au mtume ndoa zenu awalindie! Kama hana evidence kuwa wanendelea, ajue yeye bado ni chaguo ila mwenzie anafanya kitu mbaya!
big up nyumba kubwa,unajua watu wengne hawaamin kama kuna uchaw,nguvu za giza zipo ila nguvu za mungu ni zaid,agonge maombi
 
Back
Top Bottom