Sawa mkuu.KUNA BARABARA KULE NAMIBIA INAJINA LA NYERERE ALIENDA KUZINDUA MAGUFULI
Nyerere road karibu na barabara inayoenda state house NairobiPoleni na Majukumu ya Leo wana JF.
Naomba kujua niongeze maarifa.
Nchi yetu sehemu mbalimbali za mitaa na barabara ziko na majina ya viongozi nguli mfano Kenyatta Road. Nkrumah. Mandela, Obama Road nk.
Je, majina kama Nyerere, Sokoine, Milambo na mashujaa wengine wa nchi. Majina yao yameandikwa kwenye mitaa,/ barabara za kwao kama sisi tulivyoandika majina ya nchi majirani? Na kama zipo ni nchi zipi na majina yepi yameandikwa kwa sana kutoka Tanzania?
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Screpa Rd sijaionaNadhani katika maeneno yyetu haya ni DRC, Uganda, Rwanda na Burundi tu ambao hawana barbara za Nyerere. Interesting Uganda kuna barabara za Mobutu na Bokassa hapo Kampala., lakini hawana Nyerere. Sehemu nyingine hazina barabara lakini yana majengo yanayoitwa Nyerere. Angalia sample hizi za barabara;
(1)Nairobi, Kenya
View attachment 1457642
(2)Lusaka, Zambia
View attachment 1457643
3) Maputo, Musumbiji
View attachment 1457644
4)Harare, Zimbwabwe
View attachment 1457649
(5) Francistown, Botswana
View attachment 1457651
(5), Kaduna, Nigeria
View attachment 1457657
6). Accra Ghana
View attachment 1457658
7) Windhoek, Namibia
View attachment 1457662
Iko pale Mburahati