Jina la Nicole lishakuwa gumzo mtaani, kila mtoto anapewa

mbona POVU??
 
Labda tu useme jina limekua common.Lakini ukisema tabia za hao Nicole wa kwenye tamthilia watazirithi hii ina tegemeana na mpaji jina alinuia nini.Mfano jina john kwani john wote washakua maraisi.

kusema ukweli John wengi wana uwezo!
 
Akizaliwa muite MWITA, CHACHA, MARWA, RHOBI, GHATI, BHOKE, MASERO, WAMBURA, au hata GIKURI. Hata mie napenda majina na kikwetu
 
Haya nakupa kazi nichagulie jina la mtoto wa kiume
We si Mchaga kadri ya ID yako? au huendi Moshi December? Mushi, Moshi, Masawe nk au kama umeolewa muulize mmeo majina ya kikabila lao
 
Ongeza na wale wanatumia muda mwingi kuweka nywele ziwe kama za akina Nicole, hala kila akitembea anazungusha kichwa na shingo kama ng'ombe anayefukuza nzi au anaondoa nywelie kwa kutumia vidole.
Nywele zenyewe hawaziogi mba zinawasha na zinanuka na yale mafuta ukilala naye kuna hybrid za harufu mia ni kidogo. Wanazungusha kichwa kama kuku mwenye kideri.
 
Akizaliwa muite MWITA, CHACHA, MARWA, RHOBI, GHATI, BHOKE, MASERO, WAMBURA, au hata GIKURI. Hata mie napenda majina na kikwetu

Kwa hawa wadada wa siku hizi hayo majina sahau.

Wanapenda yale ya kizungu zungu kwa sababu ndo ustaarabu wenyewe huo.
 
Ongeza na wale wanatumia muda mwingi kuweka nywele ziwe kama za akina Nicole, hala kila akitembea anazungusha kichwa na shingo kama ng'ombe anayefukuza nzi au anaondoa nywelie kwa kutumia vidole.
Hahahaaaa...umenichekesha kiongozi.
 
Teh teh!!! Anavua nywele za bandia anabaki na kitu upara au twende kilioni. Unaweza kuahirisha mtanange
 
Huko Kilimanjaro watoto wa kiume wengi sana hupewa jina la Brayan hii kitu hunishangaza sana
 
Yale ya wanaozaliwa msimu wa WORLD CUP ndio kiboko ukilikuta limeandikwa hulisomi labda umuombe tu akutamkie jina lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…