Jina la Top Score wa NBC George Mpole Kukosekana kwenye Tuzo za Mchezaji Bora wa Ligi

Joined
Dec 17, 2019
Posts
19
Reaction score
41
Kuna baadhi ya Wanasoka wamesikitishwa na kukosekana kwa jina la Top Score wa NBC George Mpole kwenye tuzo za Ligi Kuu ya NBC wakidai ni kukosekana kwa uzalendo kwa wachezaji wa ndani. Kinachotokea kwa Mpole ni kama kilichotokea kwa Son aliyekuwa Top Score wa EPL bila goli la penati lakini hakuhusishwa kwenye tuzo. Laiti Mpole angekuwa Simba au Yanga na akawa Top Score angechukua tuzo ya uchezaji bora. Mpole ameponzwa na uchanga wa Klabu yake.
 
Tatizo TFF na Bodi ya Ligi wamekula hela nyingi za GSM hivyo ni njia mojawapo ya kumpoza kwa mayele kukosa kuwa mfungaji bora.
 
Nafasi Ya Mpole Imechukuliwa Na Inonga, Sijui Kafanya Nn Cha Maana Yule Jamaa Au Ndo Kumkaba Mayele Asifunge Kwenye Derby!
Na mayele alibakwa kweli kweli hadi sasa sisi wanayanga mwendo wake hatuuelewi
 
kufunga magoli sio kigezo mbona Abdallah Juma hakupewa uchezaji bora?

Geita Gold watampa hiyo zawadi kama sisi tulivyowapa Kibwana na Mukoko!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…