Jina la Yesu ndio silaha itakayotimika Vita ya Tatu ya Dunia na watakatifu kuangusha waovu

Jina la Yesu ndio silaha itakayotimika Vita ya Tatu ya Dunia na watakatifu kuangusha waovu

Yuda Legacy

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
778
Reaction score
2,764
JINA LA YESU Kama vile chemicals weapon inavyopiga na kuangusha bila kuonekana basi ndivyo lilivyo yani one attack thousand people die na litatumika na WATAKATIFU tu kuangusha hizi tawala za mataifa ambazo mmiliki ni shetani

Ambazo zimekuwa zikitumika kuwadhihaki WATAKATIFU wa kweli Wa YESU kristo.

Marekani, uchina na urusi na mataifa yote tajili G7 wataangushwa pamoja kwa Kutumia jina la YESU tu watajaribu kurusha makombola lakini hayata wapata WATAKATIFU walio katika YESU KRISTO na Dunia Yote Itatawaliwa na mfalme wa wafalme YESU KRISTO.

ff1c8a9b-c9f1-4e8f-a9a3-61282721c4c3.jpeg
 
Au sio
JINA LA YESU Kama vile chemicals weapon inavyopiga na kuangusha bila kuonekana basi ndivyo lilivyo yani one attack thousand people die na litatumika na WATAKATIFU tu kuangusha hizi tawala za mataifa ambazo mmiliki ni shetani

Ambazo zimekuwa zikitumika kuwadhihaki WATAKATIFU wa kweli Wa YESU kristo.

Marekani, uchina na urusi na mataifa yote tajili G7 wataangushwa pamoja kwa Kutumia jina la YESU tu watajaribu kurusha makombola lakini hayata wapata WATAKATIFU walio katika YESU KRISTO na Dunia Yote Itatawaliwa na mfalme wa wafalme YESU KRISTO.

View attachment 3055278
Au sio
 
JINA LA YESU Kama vile chemicals weapon inavyopiga na kuangusha bila kuonekana basi ndivyo lilivyo yani one attack thousand people die na litatumika na WATAKATIFU tu kuangusha hizi tawala za mataifa ambazo mmiliki ni shetani

Ambazo zimekuwa zikitumika kuwadhihaki WATAKATIFU wa kweli Wa YESU kristo.

Marekani, uchina na urusi na mataifa yote tajili G7 wataangushwa pamoja kwa Kutumia jina la YESU tu watajaribu kurusha makombola lakini hayata wapata WATAKATIFU walio katika YESU KRISTO na Dunia Yote Itatawaliwa na mfalme wa wafalme YESU KRISTO.

View attachment 3055278
Unajuaje? Au ni illusion tu.?
 
JINA LA YESU Kama vile chemicals weapon inavyopiga na kuangusha bila kuonekana basi ndivyo lilivyo yani one attack thousand people die na litatumika na WATAKATIFU tu kuangusha hizi tawala za mataifa ambazo mmiliki ni shetani

Ambazo zimekuwa zikitumika kuwadhihaki WATAKATIFU wa kweli Wa YESU kristo.

Marekani, uchina na urusi na mataifa yote tajili G7 wataangushwa pamoja kwa Kutumia jina la YESU tu watajaribu kurusha makombola lakini hayata wapata WATAKATIFU walio katika YESU KRISTO na Dunia Yote Itatawaliwa na mfalme wa wafalme YESU KRISTO.

View attachment 3055278
Tujitahidi kwanza CCM watoke madaraka I, otherwise Pepo tutaisikia kwenye bomba
 
MODS MBONA MNAKOSEA TENA KUEDIT MIMI NIMEANDIKA ITAKAYOTUMIKA NYIE MNAANDIKA (ITAKAYOTIMIKA) TIMIKA NDIO NINI SASA DAH
 
Jina la yesu lizuie ICBM kutoka Urusi??? itakua muujiza wa karne, Jina la yesu limeshindwa kuilinda israel dhidi ya makombora ya wapalestina wa gaza, jina lake lingekuwa na nguvu sidhani kama israel wangewekeza kwenye teknolojia ya kuzuia makombora.

Kinachonisikitisha ni kuwa inawezekana kuna mtu anakuita baba/kaka/mama/dada/mjomba/shangazi ilihali una akili za kitoto bado.
 
Back
Top Bottom