Jina lako la utotoni uliitwa nani!!?

Jina lako la utotoni uliitwa nani!!?

Bulaya001

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2018
Posts
5,987
Reaction score
6,682
Ebwana kipind nipo mdogo nlikuwa nataniwa *NYITWE* kutokana na kichwa changu kilivokuw kikubwa (nyitwe kwa kisukuma ni kichwa kikubwa) sasa tani hili nlikuw nkitaniwa nalia sana ama nazila kula mchana kutwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu na ww dodoaha jina lako la utani la utotoni lilikuw lipi ety...!!?[emoji15][emoji15][emoji15]
Screenshot_20170225-164802.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom