Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Yaaani nikisikia tu anasema anakunywa au anatumia K- Vant basi mi akili yangu inaenda mbaaaaaaaaaali.
Kuna mtu hapa kasema atanipa K- Vant kama ntampa jibu la swali lake...basi nmeanza kumwangalia kwa jicho la kati huyu bimdada. Nasema da...anipe tu hiyo K Vant yake.
Kuna mtu hapa kasema atanipa K- Vant kama ntampa jibu la swali lake...basi nmeanza kumwangalia kwa jicho la kati huyu bimdada. Nasema da...anipe tu hiyo K Vant yake.