Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 73
......Na misafara ya X5 na Benz aza haja....
Kazi kweeeeli kweli,Think tank must be......RA, Moderator EL? enzyme Karamayai? Idrisa?Ooofffss***! sasa nakumbuka na kuelewa vizuri maneno ya Bangusilo wa kibaha, kumbe alitoa majibu palepale bungeni, Duu! Duu! Al Aldawi
Inawezekana ndio haya kina Dr Mwakyembe hawakuyasema kwa kulinda heshima ya serikali?
Kama ni kweli basi inawezekana Dr alituangusha kwa kiasi fulani kwa kuficha machafu/uhusika wa mkulu kwenye richmond/dowans saga!
NDIO MAANA JAMAA ALISEMA HAPA JUZI KUWA, kuna ulazima kuamend sheria zetu za manunuzi. hii inaonekana kama ni kweli jamani. kikwete yuko kimya kwenye jambo hili, na anasapoti kununuliwa ile mitambo,ni sheria ya manunuzi tu imetuokoa jamaa hata na wanasheria wake naona hawakujua kuwa kutakuwa na pingamizi hilo, dili lilikuwa ni hilo toka zamani. ndio maana RA ana kiburi, kumbe ana mtu nyuma mkubwa, angekuwa mtu mwingine kikwete angeshampandisha kizimbani mda mrefu.lakini kwasababu RA ndo conductor wa vitu vyote hivi, ataendelea kudunda tu. ni kweli, hii nchi imenunuliwa na watu, wamebaki watu tu kuuzwa kama maandazi, ila nchi, iko mikononi mwa wachache aisee.
Gazeti la Africa Confidential liliandika kwa kirefu..mengine ni kutokana na "vitoto vya nzi" ambavyo havituliiuko uarabuni..
Zilitolewa Aprili 2005
It was campaign funds for his election
Given by who else..? you guessed it
Kikwete threatened to sue over the report he never did na hivyo ukimya wake kuonesha kukubali kupokea
Dili ni kuwa favor itakuja kurudishwa baadaye na riba juu
wakati wa kurudisha favor ulipofika.. here comes Dowans! Now.. how do help our beloved President return the favor ili aoneshe uungwana?
Habari ndiyo hiyo!
yaani unaanzisha thread ya 2 million dollars?
give me a break hivi unajua Ikulu wamespend kiasi gani kukata ile miti kule nyuma na kuweka terazo ya magari?
hebu mpumzisheni JK jama
Sasa mrudi mseme CUF ni Chama Cha waarabu ,CUF ni Chama Cha kidini yaani mnagandamiza ile mbaya kumbe mwiba mumeukalia.Mnabangaiza maumivu kwa kuwasakama CUF ,wandugu siku zote ukweli utakuja juu tu ,na ndio hayo yanazuka.
Inawezekana ndio haya kina Dr Mwakyembe hawakuyasema kwa kulinda heshima ya serikali?
Kama ni kweli basi inawezekana Dr alituangusha kwa kiasi fulani kwa kuficha machafu/uhusika wa mkulu kwenye richmond/dowans saga!
Mkuu logistic nadhani ziliwashinda, maana ilikuwa tumpige chini JK siku nile ile kama ilivyo kuwa kwa Lowaza. Nadhani itifaki ilileta fujo kidogo, but the man gave us a platform for the matter