mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Ndugu wanabodi. Wakati wote maisha yote tunatenda. Katika matendo ama tunatekeleza Mambo ya Mungu au ya shetani. Mara kadhaa nimekiwa nikipiga puli.
Sijapata kuona sehemu ya kupigia zaidi ya chooni. Miaka si chini ya ishirini nimepiga puli. Nikiona mwanamke nilienda kumaliza haja hiyo chooni. Choo Nilichotumia kwa kawaida hakikukosa kijisabuni kidoogo. Chooni Ni sehemu chafu, kumbe napiga Punyeto mbegu anakula malaika aliyeasi.
Ule uzao uliotokana na Caini pamoja na malaika aliyeasi, huu ndio uwanja wao.
Ushahidi.
Katika maisha yangu Hawa majini wakike, walinisumbua Sana. Katika kutenda hili tendo ama kwa sababu za kukua ama ushawishi wa ibilisi, nilijikuta nikiangukia huko.
Mods naomba usiunganishe Uzi huu. Una kitu Cha pekee, funzo. Naendelea ku update
+++++++++++
Nilianza masturbation nikiwa mdogo Sana. Nilifanya hivyo kwenye shule zote nilimosoma. Anza sekondari mpaka chuo. Ndani ya ndoa nilifanya pia, kwa kuwa akili ilikiwa imekomaa, nikianza kuona hii sio kawaida, nimeoa lkn nafanya hi kitu?
Wakati naacha nguvu zikawa ninaniishia, lkn kila alfajir nakuwa na nguvubza ajabu. Nikipanda jukwaani kushika ni ngumu. Moja kwa moja nikahisi nguvu ya jini mla manii.
Siku moja ndotoni nilihisi kunajisiwa. Hapo moja kwa moja nikajua majini wachafu. Nikiwa na mwanamke mchepuko, nao unanipa stori ukiwa ndotoni ulichapwa Mambo na jitu, lenye uume mchafu na mkubwa wa kitisha. Nikajua hizo ni hasira za jini mchafu mla manii.
Sijapata kuona sehemu ya kupigia zaidi ya chooni. Miaka si chini ya ishirini nimepiga puli. Nikiona mwanamke nilienda kumaliza haja hiyo chooni. Choo Nilichotumia kwa kawaida hakikukosa kijisabuni kidoogo. Chooni Ni sehemu chafu, kumbe napiga Punyeto mbegu anakula malaika aliyeasi.
Ule uzao uliotokana na Caini pamoja na malaika aliyeasi, huu ndio uwanja wao.
Ushahidi.
Katika maisha yangu Hawa majini wakike, walinisumbua Sana. Katika kutenda hili tendo ama kwa sababu za kukua ama ushawishi wa ibilisi, nilijikuta nikiangukia huko.
Mods naomba usiunganishe Uzi huu. Una kitu Cha pekee, funzo. Naendelea ku update
+++++++++++
Nilianza masturbation nikiwa mdogo Sana. Nilifanya hivyo kwenye shule zote nilimosoma. Anza sekondari mpaka chuo. Ndani ya ndoa nilifanya pia, kwa kuwa akili ilikiwa imekomaa, nikianza kuona hii sio kawaida, nimeoa lkn nafanya hi kitu?
Wakati naacha nguvu zikawa ninaniishia, lkn kila alfajir nakuwa na nguvubza ajabu. Nikipanda jukwaani kushika ni ngumu. Moja kwa moja nikahisi nguvu ya jini mla manii.
Siku moja ndotoni nilihisi kunajisiwa. Hapo moja kwa moja nikajua majini wachafu. Nikiwa na mwanamke mchepuko, nao unanipa stori ukiwa ndotoni ulichapwa Mambo na jitu, lenye uume mchafu na mkubwa wa kitisha. Nikajua hizo ni hasira za jini mchafu mla manii.