Jini Kabula Amtaka Mzazi Mwenzie Chuz Aoe

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Mwigizaji wa filamu z kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amemtaka mzazi mwenziye, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ aoe ili kulinda heshima yake.
Akizungumzia maisha yake ya uhusiano mbele ya mwanahabari wa GPL, Kabula alisema anajivunia kuzaa na Chuz lakini kwa kuwa yeye hakupanga kuolewa na prodyuza huyo mkongwe, ni bora aoe kwani umri unamtupa mkono.
“Chuz aoe tu sasa umri umeenda. Tena akioa mimi nitacheza muziki balaa siku hiyo, si unajua mambo yangu. Mbaya zaidi sina kabisa wivu naye,” alisema Jini Kabula.
 
Haya tumesikia ya mdomoni ila ya moyoni anajua mwenyewe! bongo movie! haya bwana jumanne kihangala (tuesday )ushauri wa bure huo kutoka kwa kibao chako cha kale.
 
Haya tumesikia ya mdomoni ila ya moyoni anajua mwenyewe! bongo movie! haya bwana jumanne kihangala (tuesday )ushauri wa bure huo kutoka kwa kibao chako cha kale.

Acha kuharibu majina ya watu wewe anaitwa Tuesday na sio Jumanne....hahahahaaaa.
 
Duuu mjini bila kick watu hawajisikii
 
Alipoachana na bushoke ndo kajua kua kuna mtu hajaoa na umri umeenda? Bongo muvi every corner
 
Hahahaaaa,labda anatikisa kiberiti....

Duuu ... ndo wasanii wetu.... kaulizwa km ana wivu au laaaa au anataka mr chuzi amwangalie upya nn .... ndoa zinatafitwaje
 
Duuu ... ndo wasanii wetu.... kaulizwa km ana wivu au laaaa au anataka mr chuzi amwangalie upya nn .... ndoa zinatafitwaje

Hatariiii...ndoa sio mchicha uote popote.
 
Adabu haishikwi ila watu wanashikwa sehemu mbaya,nairobi wanasema mambo mbaya,tz usema ubaya ubaya!
 
Siamini chochote kitokacho midomoni mwa bongo movies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…