Jini lakufukuza watu makazini-albafil lei

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hili nijini linalofanya kazi ya kukutenganisha wewe na bosi wako
jini hili huhakikisha kwa bosi unaonekana kama choo kikubwa
habath
hili ni jini msaidizi linakaa chooni bosi wako akienda chooni kila akijisaidia anasikia
kinyaa kukuona.unaposali kwa ajili ya shida za maofisini usiache kulikemea hilai jini kwa jina la yesu
taja majina unajua hata shetan anaogopa akisikia jina la yesu kinachofanya wengi awajui anatumia nini
kutuumiza ndiomaana nimeamua kuingia deep kuyachakachua huko yalipojificha ili kuponya roho za watu
kwa wale washika majini muda umeisha sasa zamu yenu damu ya yesu lazima iwaangamize iwateketeze tumechokwa
kuitwa watumwa kwenye ofisi zetu
 
Ze ritani ovu Sheikh Yahya Hussein?
 
D rehem sheikh yahya alikuwa awezi kutaja yesu hata siku moja else asingefika alikofika jinala yesu hatari mkuu
hapa ni kukuamsha ulie lala unateswa bila kujijua sasa pambana mwenye namwisho nakushauri nunua mafuta ya mzeituni yasemee neno isamwel 10:1... Vunja nira alafu unaomba mungu akuhifadhi sheikh yahya alikuwa anajiamini kujihifadhi mwenyewe ndio maana akaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…