Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Kwa uchunguzi wangu mpaka nimefika hapa naamini hakuna kitu kinaitwa jini mahaba.
Hii dhana imekuja baada ya mume au mke kushindwa kutimiza wajibu wake mchezoni na kusingizia mwenza wake ana jini mahaba.
Ukweli ni kwamba kuna wanawake na wanaume ambao ngono kwao ni jambo kuu, kwa hiyo wanatamani kufanya hata kila siku, hii inatokana na kichocheo cha homoni ya testosteroni.
Homoni hii kama isipoathirika badi inafanya sana kuchochea hamu ya ngono.
Fanya uchunguzi mdogo. Kwa wanaume wasio kunywa pombe, sigara au madawa ya kulevya starehe yao kuu ni ngono. Kama ww ni nywaji acha pombe kama miezi miwili alafu jipime kwenye ngono ukoje.
Sitazungumzia upande wa wanawake watakuja na ushuhuda wenyewe.
Kama umeoa na mkeo anataka ngono kila siku ni kazi kwako mwanaume wajibika acha kusingizia ana jini mahaba.
Usipofanya hivyo utakuwa unasaidiwa na wenzio.
Hii dhana imekuja baada ya mume au mke kushindwa kutimiza wajibu wake mchezoni na kusingizia mwenza wake ana jini mahaba.
Ukweli ni kwamba kuna wanawake na wanaume ambao ngono kwao ni jambo kuu, kwa hiyo wanatamani kufanya hata kila siku, hii inatokana na kichocheo cha homoni ya testosteroni.
Homoni hii kama isipoathirika badi inafanya sana kuchochea hamu ya ngono.
Fanya uchunguzi mdogo. Kwa wanaume wasio kunywa pombe, sigara au madawa ya kulevya starehe yao kuu ni ngono. Kama ww ni nywaji acha pombe kama miezi miwili alafu jipime kwenye ngono ukoje.
Sitazungumzia upande wa wanawake watakuja na ushuhuda wenyewe.
Kama umeoa na mkeo anataka ngono kila siku ni kazi kwako mwanaume wajibika acha kusingizia ana jini mahaba.
Usipofanya hivyo utakuwa unasaidiwa na wenzio.