Jino la bandia.

Pretty R.

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
200
Reaction score
31
Wana jamii wenzangu habari za usiku? Mm nilikuwa naomba mnielekeze sehemu ambapo naweza kununua jino la bandia maana sijui huwa wanauza wapi. Asanteni sn.
 
ha ha unataka urembo?..panda magari ya sinza shuka msikitini uliza hayo maeneo kuna jamaa anayatengeza.+au nenda bruhani hospitali watakutengenezea..
 
angalia ni aina gani ya meno. kama unataka implant, yaani wanapandikiza jino moja kwa moja halitoki tena, nenda nje ya nchi, ila si chini ya dola 2000. kama ya kuwa unachomeka tu, nenda muhimbili kitengo cha meno wataalamu wengi tu, bei nafuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…