Hussein omari
Member
- Aug 4, 2017
- 8
- 2
Mdaa na shabu ndo vitu gani?Kwanza kabla sijatoa tiba, dawa ya jino sio kung'oa ila dawa yake nikulitibu. Mara nyingi ugonjwa wa meno husababishwa na bakteria wanaoathiri kinywa ndio mtu akashauriwa apige mswaki kila baada ya kula ama hususan usiku kabla ya kulala. Kwa tiba chukua mdaa, shabu na karafuu zote zikiwa unga na ujazo dawa changanya na utie kwa pamba na uweke sehemu ilioathirika. Utafanya Mara tatu kwa siku.
Nenda maduka ya madawa asili ama kisunna utapataMdaa na shabu ndo vitu gani?
Sio kila dawa nzuri ni ya kiarabu, hizi ni dawa zinazopatikana kwa urahisi na kwa bei ya chini pia hazina madhara ya baadae kwa mwili.Sasa hivi kila dawa nzuri ni ya Kiarabu tuu..
Daa poleHabari wakubwa.? Jino lanisumbua Sana nakosa raha kabisa! Please tupeane msaada na maelezo pia mana nimetoa juzi na Leo mawili yanasumbua tena nini tiba ya hili? View attachment 604950
hii nasikia sana ila sijapata ushahidi wa kutoshaMkojo wako wa kwanza asubuhi unakuhusu mkuu ,utasikia kwenye bomba meno yakisumbua..