Jino Limekatika lakini haliumi Nikiacha ni Tatito?.

Mfupa

Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
37
Reaction score
3
JF Dr. Nimepatwa na tatizo. Jino langu limekatika na kipande kilichobaki kimefunikwa na ufizi je nikiliacha ni taizo?

heeeeelp!
 
'Tatito' 'taizo' sijaelewa hapa

Nina kipande cha jino lilikatikia limefunikwa na ufizi na kufanya pengo lakini ndani bado kuna kipande cha jino. Hakinisumbui ila ninauliza kama ninaweza kusababisha tatizo lolote kama sitang'oa kipande hicho????
 
Nina kipande cha jino lilikatikia limefunikwa na ufizi na kufanya pengo lakini ndani bado kuna kipande cha jino. Hakinisumbui ila ninauliza kama ninaweza kusababisha tatizo lolote kama sitang'oa kipande hicho????

Nakushauri ukaking'oe hicho kipande maana ukikiacha ufizi ukaendelea kukua kitakuletea matatizo baadae hivi unayajua maumivu ya jino? Kakitoe hicho kipande
 
Hicho kipande kilichobaki ni lazima kitakuja kukusumbua ni bora ukingo'e, au kama hakionekani kwa urahis basi ngoja kikianza kukuletea maumivu basi ujue kishasogea juu juu utakingo'a kwa wepesi zaidi.
 
hata mi ninatatizo la jino la juu limetoboka bt naogopa kwenda kulitoa wanasema et meno ya juu yana matatizo wakati wa kutoa
 
dawa yake ni kwenda kutoa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…