Snia Member Joined Apr 3, 2012 Posts 49 Reaction score 6 May 20, 2014 #1 Jamani Nina tatizo la jino (linaniuma sana) hivi kuna tiba nyingine mbali na kung'oa?
Ushirombo JF-Expert Member Joined Jan 22, 2013 Posts 3,558 Reaction score 2,702 May 20, 2014 #2 tumia mouthwash
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 37,957 Reaction score 26,414 May 21, 2014 #4 Likwatue tuu...hakuna jinsi..
KIDOLEGUMBA JF-Expert Member Joined Apr 17, 2013 Posts 498 Reaction score 110 May 21, 2014 #6 Nenda hospitali kacheki na daktari wa meno ambapo kama limetoboka na halijaharibika sana basi utaweza kuziba na ukasahau maumivu!! Ila uwahi Hospitali linaweza kuambukiza mengine kama ni jino lililotobolewa na wadudu!
Nenda hospitali kacheki na daktari wa meno ambapo kama limetoboka na halijaharibika sana basi utaweza kuziba na ukasahau maumivu!! Ila uwahi Hospitali linaweza kuambukiza mengine kama ni jino lililotobolewa na wadudu!
Snia Member Joined Apr 3, 2012 Posts 49 Reaction score 6 May 21, 2014 Thread starter #7 Asante sana kwa ushauri