Jinsi Afrika inavyoingia katika mtego wa mnyororo wa madeni kausha damu

Jinsi Afrika inavyoingia katika mtego wa mnyororo wa madeni kausha damu

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mueleko wa nchi za Africa katika upande wa uchumi kuhusiana na madeni kwa miaka ya mbeleni sio mzuri sana.

Nchi takribani 20 za Africa zinakabiliwa na changamoto kubwa ya madeni, hii ni kutokana na ukopaji wa juu sana katika miaka 10 iliyopita. Hali tayari imepelekea nchi 3 (Ghana, Zambia na Ethiopia) kushindwa kulipa baadhi ya madeni yake kwa wakati hivi karibuni na kupelekea kukaa chini na wakopeshaji wake kufanya "debt restructuring"

Hali hii pia itawafanya wakopeshaji wengi kuongeza gharama za mikopo yao kwa maana ya riba kwa nchi nyingi nyingi za Afrika, hii ina maana nchi nyingi za Africa zitazidi kuongezekwa na mzigo wa madeni wa kulipa.

Tatizo lingine ni kwamba haya madeni yanayochukuliwa hayazalishi ajira za kutosha, hayaongezi sana kipato cha mtu mmoja mmoja au taifa kwa ujumla na matokeo yake ni kwamba sehemu kubwa mapato yanayopatikana yanaenda kulipa madeni huku pesa inayobaki kwa ajili ya kufanya maendeleo kuwa kidogo sana. Kenya tayari imeshaingia kwenye utando huu, kwenye bajeti ya sasa ya Kenya zaidi ya nusu ya bajeti ni kwa ajili ya kulipa madeni. Serikali imeona njia pekee ni kukamua raia kodi na raia nao wamechoka na wamekataa.

Kadri rushwa, matumizi ya anasa na yasiyo ya kipaumbele yatakavyoachiwa kutamalaki kwenye nchi nyingi za Africa hali itazidi kuwa mbaya sana kwa raia wa kawaida kwani njia ya kuifanya nchi iendeshwe ni kodi au mikopo tu, kila mmoja atafikiwa kwa wakati wake na matokeo ya hali hiyo.
 
Tatizo viongozi wengi wa Kiafrika wana "njaa" kuliko njaa yenyewe.
Wengi wao ni wabinafsi na wasiojali maslahi ya umma.
 
Unaenda kukopa halafu unachukuwa ''dege'' kubwa unajaza wasanii kwenda kula maraha, deni litalipika?
Wakati wetu na sisi utafika vizuri, tutanyooshwa, kwa sasa ngoja tuendelee na wimbo wa "deni himilivu"
 
Kibaya zaidi ni kwamba haijulikani hizo hela huwa zinaenda wapi!

Upo uwezekano zinaishia mikononi mwa watawala.

Napendekeza siku moja tupate kiongozi jasiri ambaye atataifisha mali za viongozi wote waliolitia/wanaolitia Taifa hasara. Kuanzia ngazi ya juu kabisa hadi ngazi ya chini kabisa.

Halafu hii tabia ya kuomba-omba Waafrika sijui tuliitoa wapi?

Kuomba omba ni AIBU.
 
Unaenda kukopa halafu unachukuwa ''dege'' kubwa unajaza wasanii kwenda kula maraha, deni litalipika?
Taifa kuongozwa na mwanamke ni laana,yaani kiumbe kiliumbwa kije kuzaa na kupikia wale kimewazaa halafu watu wanaenda kukikabidhi kitu kama nchi?

Hata kuongoza tu familia yake mwanamke hawezi,hili litatu-cost pakubwa time will tell.
 
Halafu kuna majitu majuha matoto ya wanawake malaya kama li Mwijaku Kaz kusifia tu, hovyo kabisa,nawashauri vijana mfanye kila mnaloweza mkimbie hii nchi, hakuna nchi hapa hili ni jalala tupu
Sisi tumemaliza tumeshajua namna ya ku-survive kwenye hili chaka tatizo nawawaza wanangu kama watatoboa kama nilivyotoboa mimi?

Ukiwaza miaka 15 mbele na hali hii ya leo sijui itakuwaje huko!
 
Mueleko wa nchi za Africa katika upande wa uchumi kuhusiana na madeni kwa miaka ya mbeleni sio mzuri sana.

Nchi takribani 20 za Africa zinakabiliwa na changamoto kubwa ya madeni, hii ni kutokana na ukopaji wa juu sana katika miaka 10 iliyopita. Hali tayari imepelekea nchi 3 (Ghana, Zambia na Ethiopia)...
Dili Tanzania "YAKOPESHWA" Tena😁😁😁😁.. nchi itapigwa mnada hi.....
 
Back
Top Bottom