Jinsi baadhi ya Media zinavyokuza tabia zisizofaa

Ungewataja kabisa , kina juma lukole na kina mwijaku, radio one wala free Africa na baadhi ya radio hazina hiyo mambo, clouds na wasafi ndio hiyo tabia imekithiri
 
Mzee baba unaonyesha wewe mtaalamu Sana kwenye eneo hilo...so mabamsa wote ni magasho!?
Yes! nimefanya tafiti za kisayansi jamii, Afya! Madaktari hasa wa sirikali, manesi wanajua sana hizi issue! sababu madogo wakiumia wanaenda Hosp! bila PF3, huko wanatoa posho kuweka mambo sawa! kifupi ma-Drs, wana siri kubwa sana!

Sababu vijana wanachakazwa sana utadhani kapitia tembo! hapo sasa ataenda wapi? kupata msaada faster?? na pengine hata wazazi hawajui! ....ni hosp. tu! .... na bado kule Labour ward, ndo Maweee! mambo ivi!!!

Ile miili mikubwa vile! ni kwa ajili ya kujitetea, na kulipiza kisasi kirahisi !! likikubananisha kona mzee huchomoki, labda uwe na viwembe aina ya surgical blade piga kimoja akili inalikaa sawa! linakupa shikamoo! yanaogopa viwembe hatare! usiyaone vile!

Kamwe usiweke urafiki na Baunsa km weye ni wa mkoa! hata kukuzoeazoea tu! watu wakikuona nae tu! wanajua yule dogo tayari kesha potea! unaanza itwa majina km ''Anti AKILI TATU, asa nikuulize utakubali kuitwa ivo?
 
Mie nadhani hawa jamaa ndo nephilims kabisaaa!! na haya mambo kwa nini yameanzia kwao?? tuuuuu! na wanapenda hasa!! yule jemedari mkuu Alexander the great! alikuwa na Mume kabisaa mwanajeshi! Japo wazungu wanabisha bisha lkn ndo ukweli!

Manly hood wame jifunza kutoka kwetu sisi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…