sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Asalaam aleykum,
Naomba mwenye uzoefu au uelewa wa biashara ya spea za bajaj na bodaboda anisaidie mawazo.
Ninataka sana kufanya hii biashara lakini sina taarifa zake sahihi.
Nataka niifanyie DSM maeneo ya Tabata au Kimara.
Mtaji nategemea kuanza na million 5 au 7 hivi.
Nimepata idea ya kufanya hii business baada kupishana kila siku na bajaj na bodaboda mbovu.
Mwenye kuweza nisaidia mawazo, plz do!
Naomba mwenye uzoefu au uelewa wa biashara ya spea za bajaj na bodaboda anisaidie mawazo.
Ninataka sana kufanya hii biashara lakini sina taarifa zake sahihi.
Nataka niifanyie DSM maeneo ya Tabata au Kimara.
Mtaji nategemea kuanza na million 5 au 7 hivi.
Nimepata idea ya kufanya hii business baada kupishana kila siku na bajaj na bodaboda mbovu.
Mwenye kuweza nisaidia mawazo, plz do!