Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Jinsi machawa sorry CCM walivyplazimika kumpitisha mtu wao, kuna haja ya kufanya uchaguzi na kupoteza fedha na muda?
Kama wanaogopana na kuburuzana uchaguzi utanusurika?
Najiwazia tu. Kama anayosifiwa ni ya kweli, kwanini ameogopa machawa yake?
Kama wanaogopana na kuburuzana uchaguzi utanusurika?
Najiwazia tu. Kama anayosifiwa ni ya kweli, kwanini ameogopa machawa yake?