Jinsi "chekechea" Jwaneng Gallaxy alivyokatisha ndoto za "giant" simba kwa Mkapa

simba atatoboa group stage mwaka huu?

  • ndiyo

    Votes: 4 57.1%
  • hapana

    Votes: 3 42.9%

  • Total voters
    7

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
JINSI "CHEKECHEA" JWANENG GALLAXY ALIVYOKATISHA NDOTO ZA "GIANT" SIMBA KWA MKAPA

Naam wakati ratiba inapangwa Jwaneng Gallaxy walianzia hatua ya PRELIMINARY maarufu kama "chekechea" na Simba wakaanzia First round

Lakini kilichotokea hapo KWA MKAPA HATOKI MTU jamaa Ma Giant wa mchongo walipasuka goli tatu kipindi kimoja CAF CHAMPIONS LEAGUE 2021/22 SIMBA WALIANZIA FIRST ROUND NA KUISHIA FIRST ROUND HIYO HIYO

FUNDISHO
Usimdharau CHEKCHEA anaweza kuiingia group stage na wewe ukakuacha unajuta
 
Kwa timu nyingine sawa lakini siyo timu iliyojaza vichaa kama utopolo.
Utopolo atapigwa ndani nje na atarudi kuja kupokea wageni kama kawaida yao.

Unakumbuka mara ya mwisho Yanga kuifunga timu ya nje ktk mashindano ya CAF?
 
Ambapo msimu huohuo yanga alifika mpaka fainali kombe la mabingwa Africa na kumbamiza Al ahly 4 bila.
 
Waambie hao Makolo na mwaka huu tunaomba wapangiwame tena na wale wahuni kudadadeq
 
Mwambie mheshimiwa hakimu Jwaneng na Giants wakaishia wapi. Mwambie hakimu Tz inaingiza timu 4 ni manuva ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…