Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,067
Na ungekuta dunia SAA hizi ingekuwa mbali sana kimaendeleo...pengo la masikini na matajiri lisingekuw kama lilivyo sasa tatizo la ubepari ni kwenye umiliki Mali kwa Us pengo la matajiri na masikini ni kubwa sana lisilo mithilika mwingine akifikiria kula birthday yake ktk sayari ya mars mwingine anasubiria chakula cha mchana kutoka halmashauri ya jiji[emoji2] [emoji2]Jamaa alikuwa na kila sifa na uwezo wa kutawala dunia sema walimuwahi,vinginevyo duhh
Jamaa angetawala miaka kibao
Na wote ni wayahudiWote ni wezi tu,chanzo cha technology yote hiyo ni wanasayansi wa ujerumani ambao wote USSR na US waliwaiba kipinf cha mwisho wa vita ya pili ya dunia.Technology zote za kijeshi wanazoringa nazo Russia na US kwa sasa ni Research findings za Wajerumani.Hakuna jipya hapo,So wote ni wezi wa daraja la kwanza.
Walikuwa tayari wanamalizia atomic bomb,ile Manhattan project iliendelezwa tuuYaani Hitler angemiliki nyuklia cjui dunia ingekuwa imekwisha...au wana sayansi wake walikuwa wanachelesha kutengeneza bom hilo kwa makusudi maana walishamuona hamnazo kichwani[emoji16] [emoji16]
Duh ni xhidaYaani Hitler angemiliki nyuklia cjui dunia ingekuwa imekwisha...au wana sayansi wake walikuwa wanachelesha kutengeneza bom hilo kwa makusudi maana walishamuona hamnazo kichwani[emoji16] [emoji16]
einstein aliwai kutaka kumpa hitler formular yake ya atomic lakini hitler alimpuuza coz ilionekana kitu kisichowezekana jamaa akaenda kuwapa wamarekani wakaifanyia kaziYaani Hitler angemiliki nyuklia cjui dunia ingekuwa imekwisha...au wana sayansi wake walikuwa wanachelesha kutengeneza bom hilo kwa makusudi maana walishamuona hamnazo kichwani[emoji16] [emoji16]
tatizo alikua over ambitous aliishawashika pabaya sema akawa tamaa inamzidi hadi wenzake wakaamua kuungana kummalizaJamaa alikuwa na kila sifa na uwezo wa kutawala dunia sema walimuwahi,vinginevyo duhh
Jamaa angetawala miaka kibao
Tatizo we nae umesoma Physics za ajabu ajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni possible sana tu, unaangalia ilivyoungwa tu mengine mtajazia mbeleIla mimi nina mashaka na hii chai injine ya kurushia dude anga za juu iwekwe kwenye kasha na wakaifungua kwa usiku mmoja wakamaliza kila kitu na kurudishia jamani jamani hebu nisahihisheni vizuri au ilikuwa injini ya LANDROVER 119