ata alivyopigwa kanzu kaitaba ilikuwa safi tuHabar zenu wana jamvi,
Leo ningependa tumzungumzie kidogo huyu mwamba wa Lusaka (Chama) itoshe tu kusema kwamba huyu jamaa ni mwongo na mlaghai pia.
Kadri siku zinavyozidi kwenda anajaribu kuwadanganya na kuwalaghai vijana wengi kuwa kuucheza mpira wa miguu ni kitu rahisirahsi tu, na hii ni kutokana na yeye kuwa jicho la watoto na vijana wengi kwa sasa katika kujifunza mpira.
Anajaribu kudhirishia umma kuwa mpira ni kitu rahisi mnooo..kumbe sivyo kabisa.
Nimegundua jf ya siku hizi imejaa watu wajinga sana, yani mada kama hii watu wanashindwa kuielewa wanachangia nje ya mada.
HhBandiko limekuwa gumu kueleweka kwa baadhi ya wadau.
Hujaelewa madaacha utopolo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimegundua jf ya siku hizi imejaa watu wajinga sana, yani mada kama hii watu wanashindwa kuielewa wanachangia nje ya mada.