Jinsi Eminem alivyomteketeza Machine Gun Kelly kwenye Killshot

Jinsi Eminem alivyomteketeza Machine Gun Kelly kwenye Killshot

nyabhingi

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
15,602
Reaction score
20,181
Beef la Eminem na Machine Gun Kelly (MGK) lilianzaje

Mwaka 2012 MGK alicomment kwenye picha ya mtoto wa kike wa Em (Hailie) aliyopost kwenye social media kuwa “she is hot as f*ck”.Hii comment ilimuudhi Em kwani aliona ni kama kumkosea adabu binti yake. Kwamujibu wa Eminem ni kwamba hiyo comment hakuiona mpaka juzi kati alipokuwa anapitia mitandao ya kijamii.

Agosti 2018 Eminem alitoa “a surprise” album inayoitwa Kamikaze,ndani yake kuna wimbo “not alike’ akimrushia maneno na kumtaja moja moja MGK kwa jina. MGK alijibu kwa diss track “Rap Devil” ikiwa kama jibu la wimbo wa Eminem “Rap God”

Mtu mzima Eminem hakukubali dharau za dogo na ndipo alipoachia bomu “Killshot” ambalo inasemwa kuwa litamuua kabisa kimuziki gogo MGK.

Hapa chini ni mstari kwa mstari kati ya mistari ya Rap Devil ya MGK na “bars” za “Killshot” za nguli Eminem.Kumbuka kuwa rap devil ndiyo ilianza kutoka,killshot ni jibu la rap devil

MGK: It’s a fast road when your idols become your rivals, yeah (MGK amesikika mara nyingi

akisema role model wake ni Eminem)

EM: When your fans become your haters ( akimanisha MGK alikuwa shabiki sasa analeta chuki)

MGK: The type to be scared to ask Rihanna for her number ,just hold her umbrella-ella-ella

(kwamba pamoja na kumshirikisha Rihanna kwenye wimbo wake lakini aliogopa hata

kuomba namba)

EM : Rihanna just hit me on a text, Last night I left hickeys on her neck

( akimaanisha namba ya rihanna anayo na kumla kwake ni wakati wowote..hapa huyu mhuni simuamini kama anamla rihanna)


MGK: Yeah I’ll acknowledge you’re the GOAT, But I’m The Gunner, bitch, I got you in the scope

(haeleweki dogo,mstari mmoja anamsifia,mstari unaofuata anamponda!!)

EM : Insult me in a line, compliment me on the next

MGK: Last time you saw 8 Mile was at home on a treadmill

(anamaanisha kuwa Eminem anaitaja tu 8 miles lakin haendagi hometown kwake,Detroit

Treadmill ni mashine ya kufanya mazoezi ya kukimbia,kwamba wakati pekee anaiona maili

nane ni kwenye screen ya hiyo mashine anapofanya mazoezi)

EM: Was watchin' 8 Mile on my NordicTrack (hapa Eminem anamuonyesha kuwa ana hela ya

kunnua kifaa cha kisasa cha kukimbilia(NordicTrack) na sio treadmills cha kizamani na

cheap

MGK: His fuckin' beard is weird (anaponda style ya sasa ya Eminem kufuga ndevu nyingi)

EM: But how you gonna name yourself after a damn gun, and have a man-bun?

(anamuuliza anajiitaje machine gun wakati anaweka mabutu kwenye nywele!!)

MGK: Let’s ask Interscope how you had Paul Rosenberg trying to shelf me…

(anamlaumu Eminem kwa kujaribu kumbania kwa mabosi wa Interscope label)

EM : I say one call to Interscope and you're Swayze (angetaka kumbania ni kupiga simu moja tu

pale Interscope na dogo anaondolewa kwenye label,hapa anakataa kuwahi kumbania)


MGK: About to be 46 years old, dog Talkin' ‘bout “I'ma call up Trick Trick” (kwamba Em kashazeeka)


EM : With your corny lines ("Slim, you're old")—ow, Kelly, ooh

But I'm 45 and I'm still outselling you (ameshakuwa mtu mzima lakini anauza copy nyingi

kuliko yeye kijana na mwenye njaa kwenye game)

MGK: Yeah I’ll acknowledge you’re the GOAT
But I’m The Gunner, bitch, I got you in the scope (brra)


( dogo anatishia kumpiga bunduki slim)

EM : Ho, chill, actin' like you put the chrome barrel to my bone marrow
Gunner? Bitch, you ain't a bow and arrow


( anajiita machine gun wakati yeye hata sio upinde na mshale)

MGK: Stop all the thuggery, Marshall, you livin' in luxury (slim aache kujifanya mhuni wakati

Anaishi maisha ya kifahari)

EM : Luxury, oh, you broke, bitch? Yeah, I had enough money in '02

To burn it in front of you, ho (kutokuwa na hela sio uhuni)

MGK: He like, “Damn, he a younger me (anajiita Eminem mdogo)

EM : Younger me? No, you the wack me, it's funny but so true ( kwamba Kelly ni Eminem

Mdogo asiye na kipaji)

MGK: Let’s talk about the fact you actually blackballed a rapper
that’s twice as young as you (let’s talk about it)


(kwamba Eminem ni mkubwa mara mbili ya MGK)

EM : I'd rather be 80-year-old me than 20-year-old you ( ni bora awe Eminem kikongwe wa miaka 80 kuliko kuwa MGK wa miaka 20)

MGK: But you’re just a bully actin' like a baby
so I gotta read you a nursery (nursery)
(slim ni mbabe mwenye mambo ya kitoto)

EM : Got more fans than you in your own city, lil' kiddy, go play

feel like I'm babysitting Lil Tay (slim ana mashabiki wengi kuliko Kelly kwenye mkoa anaotoka

Kelly,kwa hiyo ni kama anamlea mtoto (Lil Tay ni mtoto wa Kelly)



MGK: Put him on the playlist right next to Jay (katika wimbo breaking news Kelly anadai yeye ni

Sawa na Jay z)

EM: You ain't never made a list next to no Biggie, no Jay

next to Taylor Swift and that Iggy ho, you about to really blow

(Kelly hajawahi kuwa kwenye list nyuma ya Jay na Biggie.mwaka 2015 slim aliwekwa kwenye

namba kwa marapa bora nyuma ya Jay na Biggie..anamwambia Kelly yupo kwenye list moja

na Iggy Azalea na Taylor Swift)



MGK: How could I even look up to you? You ain’t as tall as me

5'8" and I’m 6'4", seven punches hold your head still (Kelly anaponda kimo cha slim kwamba

ni andunje)



EM: But if I was three-foot-eleven

you'd look up to me, and for the record

you would suck a dick to fuckin' be me for a second

(hata angekuwa mfupi futi tatu Kelly anaweza kufanya lolote akipata nafasi ili awe

slim ikiwa hata kwa sekunde moja)



MGK: I’m sick of them sweatsuits and them corny hats, let’s talk about it (kwamba slim hajui

Kupiga pamba(siku hizi mnaita kudamshi))



EM : Your red sweater, your black leather

you dress better, I rap better (slim amejikita sana katika ubora wa Sanaa ya kurap kuliko

mavazi)



MGK: Yeah there’s a difference between us
i got all of my shit without Dre producin' me (ayy)
(kwamba slim alitoka kwenye game sababu

alikuwa na producer bora-Dre)



EM: Killshot, I will not fail, I'm with the Doc still

but this idiot's boss pops pills and tells him he's got skills

but, Kells, the day you put out a hit's the day Diddy admits

that he put the hit out that got Pac killed, ah!

( slim anadai boss wa Kelly ni teja na akishavuta anamwambia kuwa ana kipaji wakati hana

anamgusa pia na Diddy ambaye ni boss wa Kelly(bad boy) kuwa siku aliyoproduce na

kuachia rap devil ndio siku pac aliuawawa na anamuunganisha diddy na kifo cha pac)



MGK:
1538321637149.png


EM : So just leave my dick in your mouth and keep my daughter out it
 
honestly mimi namkubali saana eminen ila his career is over kumbuka watu walidiss saana album yake ya kamikaze na hii diss ndio imemrudisha midomni kwa watu but tuwe wa kweli wimbo wa mgk rap devil ni mzuri kuliko killshot ukweli tuseme ukweli mimi hata mgk nilikuwa simjui but wimbo wake ni mzuri the beat is fire flow is fire the the rest is fire
 
Ngoja nitafute nyimbo za MGK...nilimsikia tu kwenye No More Sad Song Ya Little Mix
 
Beef la Eminem na Machine Gun Kelly (MGK) lilianzaje

Mwaka 2012 MGK alicomment kwenye picha ya mtoto wa kike wa Em (Hailie) aliyopost kwenye social media kuwa “she is hot as f*ck”.Hii comment ilimuudhi Em kwani aliona ni kama kumkosea adabu binti yake. Kwamujibu wa Eminem ni kwamba hiyo comment hakuiona mpaka juzi kati alipokuwa anapitia mitandao ya kijamii.

Agosti 2018 Eminem alitoa “a surprise” album inayoitwa Kamikaze,ndani yake kuna wimbo “not alike’ akimrushia maneno na kumtaja moja moja MGK kwa jina. MGK alijibu kwa diss track “Rap Devil” ikiwa kama jibu la wimbo wa Eminem “Rap God”

Mtu mzima Eminem hakukubali dharau za dogo na ndipo alipoachia bomu “Killshot” ambalo inasemwa kuwa litamuua kabisa kimuziki gogo MGK.

Hapa chini ni mstari kwa mstari kati ya mistari ya Rap Devil ya MGK na “bars” za “Killshot” za nguli Eminem.Kumbuka kuwa rap devil ndiyo ilianza kutoka,killshot ni jibu la rap devil

MGK: It’s a fast road when your idols become your rivals, yeah (MGK amesikika mara nyingi

akisema role model wake ni Eminem)

EM: When your fans become your haters ( akimanisha MGK alikuwa shabiki sasa analeta chuki)

MGK: The type to be scared to ask Rihanna for her number ,just hold her umbrella-ella-ella

(kwamba pamoja na kumshirikisha Rihanna kwenye wimbo wake lakini aliogopa hata

kuomba namba)

EM : Rihanna just hit me on a text, Last night I left hickeys on her neck

( akimaanisha namba ya rihanna anayo na kumla kwake ni wakati wowote..hapa huyu mhuni simuamini kama anamla rihanna)


MGK: Yeah I’ll acknowledge you’re the GOAT, But I’m The Gunner, bitch, I got you in the scope

(haeleweki dogo,mstari mmoja anamsifia,mstari unaofuata anamponda!!)

EM : Insult me in a line, compliment me on the next

MGK: Last time you saw 8 Mile was at home on a treadmill

(anamaanisha kuwa Eminem anaitaja tu 8 miles lakin haendagi hometown kwake,Detroit

Treadmill ni mashine ya kufanya mazoezi ya kukimbia,kwamba wakati pekee anaiona maili

nane ni kwenye screen ya hiyo mashine anapofanya mazoezi)

EM: Was watchin' 8 Mile on my NordicTrack (hapa Eminem anamuonyesha kuwa ana hela ya

kunnua kifaa cha kisasa cha kukimbilia(NordicTrack) na sio treadmills cha kizamani na

cheap

MGK: His fuckin' beard is weird (anaponda style ya sasa ya Eminem kufuga ndevu nyingi)

EM: But how you gonna name yourself after a damn gun, and have a man-bun?

(anamuuliza anajiitaje machine gun wakati anaweka mabutu kwenye nywele!!)

MGK: Let’s ask Interscope how you had Paul Rosenberg trying to shelf me…

(anamlaumu Eminem kwa kujaribu kumbania kwa mabosi wa Interscope label)

EM : I say one call to Interscope and you're Swayze (angetaka kumbania ni kupiga simu moja tu

pale Interscope na dogo anaondolewa kwenye label,hapa anakataa kuwahi kumbania)


MGK: About to be 46 years old, dog Talkin' ‘bout “I'ma call up Trick Trick” (kwamba Em kashazeeka)


EM : With your corny lines ("Slim, you're old")—ow, Kelly, ooh

But I'm 45 and I'm still outselling you (ameshakuwa mtu mzima lakini anauza copy nyingi

kuliko yeye kijana na mwenye njaa kwenye game)

MGK: Yeah I’ll acknowledge you’re the GOAT
But I’m The Gunner, bitch, I got you in the scope (brra)


( dogo anatishia kumpiga bunduki slim)

EM : Ho, chill, actin' like you put the chrome barrel to my bone marrow
Gunner? Bitch, you ain't a bow and arrow


( anajiita machine gun wakati yeye hata sio upinde na mshale)

MGK: Stop all the thuggery, Marshall, you livin' in luxury (slim aache kujifanya mhuni wakati

Anaishi maisha ya kifahari)

EM : Luxury, oh, you broke, bitch? Yeah, I had enough money in '02

To burn it in front of you, ho (kutokuwa na hela sio uhuni)

MGK: He like, “Damn, he a younger me (anajiita Eminem mdogo)

EM : Younger me? No, you the wack me, it's funny but so true ( kwamba Kelly ni Eminem

Mdogo asiye na kipaji)

MGK: Let’s talk about the fact you actually blackballed a rapper
that’s twice as young as you (let’s talk about it)


(kwamba Eminem ni mkubwa mara mbili ya MGK)

EM : I'd rather be 80-year-old me than 20-year-old you ( ni bora awe Eminem kikongwe wa miaka 80 kuliko kuwa MGK wa miaka 20)

MGK: But you’re just a bully actin' like a baby
so I gotta read you a nursery (nursery)
(slim ni mbabe mwenye mambo ya kitoto)

EM : Got more fans than you in your own city, lil' kiddy, go play

feel like I'm babysitting Lil Tay (slim ana mashabiki wengi kuliko Kelly kwenye mkoa anaotoka

Kelly,kwa hiyo ni kama anamlea mtoto (Lil Tay ni mtoto wa Kelly)



MGK: Put him on the playlist right next to Jay (katika wimbo breaking news Kelly anadai yeye ni

Sawa na Jay z)

EM: You ain't never made a list next to no Biggie, no Jay

next to Taylor Swift and that Iggy ho, you about to really blow

(Kelly hajawahi kuwa kwenye list nyuma ya Jay na Biggie.mwaka 2015 slim aliwekwa kwenye

namba kwa marapa bora nyuma ya Jay na Biggie..anamwambia Kelly yupo kwenye list moja

na Iggy Azalea na Taylor Swift)



MGK: How could I even look up to you? You ain’t as tall as me

5'8" and I’m 6'4", seven punches hold your head still (Kelly anaponda kimo cha slim kwamba

ni andunje)



EM: But if I was three-foot-eleven

you'd look up to me, and for the record

you would suck a dick to fuckin' be me for a second

(hata angekuwa mfupi futi tatu Kelly anaweza kufanya lolote akipata nafasi ili awe

slim ikiwa hata kwa sekunde moja)



MGK: I’m sick of them sweatsuits and them corny hats, let’s talk about it (kwamba slim hajui

Kupiga pamba(siku hizi mnaita kudamshi))



EM : Your red sweater, your black leather

you dress better, I rap better (slim amejikita sana katika ubora wa Sanaa ya kurap kuliko

mavazi)



MGK: Yeah there’s a difference between us
i got all of my shit without Dre producin' me (ayy)
(kwamba slim alitoka kwenye game sababu

alikuwa na producer bora-Dre)



EM: Killshot, I will not fail, I'm with the Doc still

but this idiot's boss pops pills and tells him he's got skills

but, Kells, the day you put out a hit's the day Diddy admits

that he put the hit out that got Pac killed, ah!

( slim anadai boss wa Kelly ni teja na akishavuta anamwambia kuwa ana kipaji wakati hana

anamgusa pia na Diddy ambaye ni boss wa Kelly(bad boy) kuwa siku aliyoproduce na

kuachia rap devil ndio siku pac aliuawawa na anamuunganisha diddy na kifo cha pac)



MGK:
View attachment 882492

EM : So just leave my dick in your mouth and keep my daughter out it
Noma sana umetisha mzee....kazi nzuri umechambua bila kukosea aiseee...fans wa slim shady tunaelewa
 
honestly mimi namkubali saana eminen ila his career is over kumbuka watu walidiss saana album yake ya kamikaze na hii diss ndio imemrudisha midomni kwa watu but tuwe wa kweli wimbo wa mgk rap devil ni mzuri kuliko killshot ukweli tuseme ukweli mimi hata mgk nilikuwa simjui but wimbo wake ni mzuri the beat is fire flow is fire the the rest is fire
"i am 45 years old and am outselling you"
whose career is over? eminem katika umri huu bado anawapiga mabwana wadogo kwenye mauzo
 
honestly mimi namkubali saana eminen ila his career is over kumbuka watu walidiss saana album yake ya kamikaze na hii diss ndio imemrudisha midomni kwa watu but tuwe wa kweli wimbo wa mgk rap devil ni mzuri kuliko killshot ukweli tuseme ukweli mimi hata mgk nilikuwa simjui but wimbo wake ni mzuri the beat is fire flow is fire the the rest is fire
Ujakosea mkuu
 
Eminem amemkuzia jina dogo MGK baada ya kumjibu maana baada yakutoa tu hiyo ngoma ilivunja rekodi ya kuwa na viwers wengi kwa muda mfupi though siyo kali kivile.
 
Ao ndo wanani mkuu mbona sijawahi wasikia kwa redio yetu pendwa tbc
 
EM: But if I was three-foot-eleven

you'd look up to me, and for the record

you would suck a dick to fuckin' be me for a second

(hata angekuwa mfupi futi tatu Kelly anaweza kufanya lolote akipata nafasi ili awe

slim ikiwa hata kwa sekunde moja)

Hizi tafsiri zako kuna mahali zinaniacha solemba anyway kama vipi tuanzishe na sisi bifu letu Jf
 
honestly mimi namkubali saana eminen ila his career is over kumbuka watu walidiss saana album yake ya kamikaze na hii diss ndio imemrudisha midomni kwa watu but tuwe wa kweli wimbo wa mgk rap devil ni mzuri kuliko killshot ukweli tuseme ukweli mimi hata mgk nilikuwa simjui but wimbo wake ni mzuri the beat is fire flow is fire the the rest is fire
umeona lakini records zilizowekwa na KILLSHOT....

alafu MGK huko state kwenyewe hawamkubali

kumbuka huyu dogo anatoka familia ya bad boy lakn hata diddy mwenyewe hakuwahi kumpromote sababu anajua hamna kitu

amekuja kumpromote juzi baada ya mashairi ya eminem kwenye killshot kuwa (mgk hajawahi kutoa hit.. na kama akitoa hit ndio itakuwa siku didy atakubali kuwa alihusika na kifo cha 2pac)

lakini matokeo yake baada ya kumpromote yalikuwa hovyo sana hadi ikabidi afute post ...kwasababu mashabiki wa label ya bab boy walianza kumtukana didy kuwa anapromote upuuzi

slim shade he is the rap god na hilo amezihirisha kwa mauzo ya album yake hii ya sasa pamoja na track ya killshot
 
EM: But if I was three-foot-eleven

you'd look up to me, and for the record

you would suck a dick to fuckin' be me for a second

(hata angekuwa mfupi futi tatu Kelly anaweza kufanya lolote akipata nafasi ili awe

slim ikiwa hata kwa sekunde moja)

Hizi tafsiri zako kuna mahali zinaniacha solemba anyway kama vipi tuanzishe na sisi bifu letu Jf

lugha ya kifasihi....

"you would suck a dick to fuckin' be me for a second"

hayo maneno kifasihi yanamaana kuwa upo tayari kufanya lolote ...

since kunyonya mkuyenge kwa mwanaume siyo kitu rahisi na siyo cha kawaida

so mleta mada alitafsiri kifasihi zaidi maana mwanaume akifikia hatua ya kunyonya mkuyenge ujue ni tayari amejitoa kwa lolote hadi utu wake

 
umeona lakini records zilizowekwa na KILLSHOT....

alafu MGK huko state kwenyewe hawamkubali

kumbuka huyu dogo anatoka familia ya bad boy lakn hata diddy mwenyewe hakuwahi kumpromote sababu anajua hamna kitu

amekuja kumpromote juzi baada ya mashairi ya eminem kwenye killshot kuwa (mgk hajawahi kutoa hit.. na kama akitoa hit ndio itakuwa siku didy atakubali kuwa alihusika na kifo cha 2pac)

lakini matokeo yake baada ya kumpromote yalikuwa hovyo sana hadi ikabidi afute post ...kwasababu mashabiki wa label ya bab boy walianza kumtukana didy kuwa anapromote upuuzi

slim shade he is the rap god na hilo amezihirisha kwa mauzo ya album yake hii ya sasa pamoja na track ya killshot
ndugu yangu nakukataria mimi nilikuwa simjui mgk but anakubalika man tena saana coz anaimba hadi rock afu killshot ilisubiriwa kwa hamu saaana ndio ilipata views wengi ndani ya masaa 24 but mpaka now napoongea rap devil ina views wengi kuliko killshot man mimi binafsi nilidownload killshot niisikilize but now nimeshaifuta coz hata kama ni diss track lazima iwe na beat nzuri vocal nzuri yaan wimbo uwe mzuri ila ukweli ni kwamba rap devil ni nzuri kuliko killshot mara mia
 
ndugu yangu nakukataria mimi nilikuwa simjui mgk but anakubalika man tena saana coz anaimba hadi rock afu killshot ilisubiriwa kwa hamu saaana ndio ilipata views wengi ndani ya masaa 24 but mpaka now napoongea rap devil ina views wengi kuliko killshot man mimi binafsi nilidownload killshot niisikilize but now nimeshaifuta coz hata kama ni diss track lazima iwe na beat nzuri vocal nzuri yaan wimbo uwe mzuri ila ukweli ni kwamba rap devil ni nzuri kuliko killshot mara mia
youtube views wanashindana wasanii wa tanzania mzee baba 😂😂😂

kule maduniani kwa wenzetu wanashinda (how many copy got sold) na charts za bilboards. hayo mambo ya youtube views tunashindana huku sisi

alafu kingine msikilize eminem pale aliposema (i gav you a career just to destroy it) alikuwa anamaanisha anavyomjibu kwenye kilshot ni kwamba anampa fame ila ndio anamuua kimuziki ingia chimbo ufatilie mzee baba

kwa kumalizia tu... hadi jana EMMINEM ana nyimbo mbili kwenye top ten ya rap chats za bilboad huyo MGK he is no where to be found on top 10 alipata chat sababu watu walikuwa wanataka kumsikia tu alichoimba sasa wamemsikia wamemtema

mashabiki wa hiphop hawaangalii yale makelele wanaangalia kilichoimbwa na MGK hana mashairi

embu nikuulize unamdiss mtu vipi huku unamsifia eti unamuita kabisa rap god alafu unamponda

hata eminem alishangaa ndio maana akasema kama when your fans becom enemy na u diss me and you compliment on the next line

nakuacha na chat ya billboards ya jana ili ujue ni kwann eminem alisema am givin u career just to deatroy it

Rap Music: Top Rap Songs Chart
 
Back
Top Bottom