Heshima gani?
Mbona povu namna hii kamanda? [emoji16][emoji16][emoji16]
Nenda SUAlinaitwaje ilo shirika?
I don't like that typing style!ndo jina lake? mm nko lindi
Georgia Bulldog for life [emoji123][emoji123][emoji123]Jimbo la florida lina vyuo vikuu vikubwa viwili vyenye heshima kubwa... ambavyo ni university of Florida ambayo wanafunzi wake na alumni wanaitwa gators na florida state university ambayo wanafunzi wake na alumni wanaitwa seminoles..
Marekani wana ligi za michezo za vyuo vikuu.. sasa hao mashabiki wa gators na seminoles wana heshimika sana balaa lao.. pia hivyo vyuo vina heshima sana kwenye utafiti
Georgia Bulldog for life [emoji123][emoji123][emoji123]
Sasa nilitegemea umekaa Ughaibuni utakuwa na ushauri mzuri kumbe bado una akili za Kibongo bongo,sasa ndo ushauri gani huo wa kufungua Mpesa?Hapana Nahmala sipo Minnesota kwa sasa nilirejea Tanzania wakati Corona ndio imeanza kupamba moto.
Kwa baridi Minnesota ni kiboko nilikuwa najaribu kucheza mpira na washikaji kwenye ice wenyewe wametoka Brazil, S.Korea na India wamezoea hali ile nilikuwa naona naweza kurudisha namba kwa Mungu sio muda na sikutaka kujitenga😂
Huyu mdogo wetu kwa alichokisoma akafungue M-pesa tu au akomae na ushauri aliopewa hapo juu na EllySkyWilly
Mkuu naomba nije PM kwako.Kwa ulichokisoma A-level mdogo wangu anza tu kutafuta hela uendeshe maisha yako!
Hakuna sponsor atakufadhili ukasome kozi za sanaa labda awe nduguyo.
Nisikuvunje moyo sana kuna shirika la ki-israel (lakidini) kila mwaka hufadhili wanafunzi kwenda Minnesota kusoma na mimi ni mmoja wa wanufaika.
Kwa taarifa zaidi usinijie PM nenda SUA utapata taarifa zote kuwahusu na huenda ukawa na nyota ukafanikiwa licha ya sanaa yako.
Mkuu Shimba naomba nije PM kwako mkuu.Ndiyo maana hata mimi nimemuuliza hayo maswali mawili hapo juu. Kama anajilipia hakuna tatizo tena nitamuunganisha na watu wa admission na kumpatia info zote anazohitaji.
Bado uko Minnesota mkuu? Libaridi hilo limewaanza. Niliwahi kufika huko wakati wa Winter nikakimbia asubuhi na mapema na kuapa kutorudi tena. Si kwa baridi ile aisee. Yaani makende mpaka yanapotea duh!
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioMkuu mtoa mada umefanikiwa chochote?
tupo mwongozo
Ndio
Hivi wamarekani wanashabikia utopolo a mnyama??? Au sisi tu ndo tunajipendekezaCollege football playoff next 2 weeks, bull dogs mna nafasi yoyote kuwemo ndani?
Hivi wamarekani wanashabikia utopolo a mnyama??? Au sisi tu ndo tunajipendekeza
Mkuu ni vitu gani vya muhimu vinahitajika ili kuingia U.S. Cause nilijaribu sana kuingia U. S kwa scholarship lkn scholarship zake huwa sizielewagi kabisa. Japo nilifanikia kuingia U. K kwa Commonwealth scholarship lakini U. S imenigomea kabisa.I don't like that typing style!
Exposure muhimu babukwanini huyo sponsor asikulipe ada usomee hapahapa bongo uanze diploma ya masomo ya biashara?
Alafu pia usisomee political science, soma biashara itakufungua angalau akili hata ya kuendesha maisha yako political sayansi itakufanya uwe mpiga kelele tu.
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asee..
Baridi kali sana nimesota hapa
Hapana Nahmala sipo Minnesota kwa sasa nilirejea Tanzania wakati Corona ndio imeanza kupamba moto.
Kwa baridi Minnesota ni kiboko nilikuwa najaribu kucheza mpira na washikaji kwenye ice wenyewe wametoka Brazil, S.Korea na India wamezoea hali ile nilikuwa naona naweza kurudisha namba kwa Mungu sio muda na sikutaka kujitenga[emoji23]
Huyu mdogo wetu kwa alichokisoma akafungue M-pesa tu au akomae na ushauri aliopewa hapo juu na EllySkyWilly
Hizo za common wealth ndiyo zikoje?Mkuu ni vitu gani vya muhimu vinahitajika ili kuingia U.S. Cause nilijaribu sana kuingia U. S kwa scholarship lkn scholarship zake huwa sizielewagi kabisa. Japo nilifanikia kuingia U. K kwa Commonwealth scholarship lakini U. S imenigomea kabisa.