Hahahaaa taratibu mkuu. Ana majonzi mwambaMaelezo kibao halafu pointless
Sasa mkuu kwani nimetaka kutoa point au kutafuta utatuzi? Sipendi shobo ujue Kama we hujui jinsi ya kushauri mtu tafadhali acha kuropoka kwa sababu unajua kuandika ...Nimeuliza nikujua huku watu mnajitambua sijategemea kupata comment ya kipuuzi Kama yako[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] shame on youMaelezo kibao halafu pointless
Sawa bossSasa mkuu kwani nimetaka kutoa point au kutafuta utatuzi? Sipendi shobo ujue Kama we hujui jinsi ya kushauri mtu tafadhali acha kuropoka kwa sababu unajua kuandika ...Nimeuliza nikujua huku watu mnajitambua sijategemea kupata comment ya kipuuzi Kama yako[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] shame on you
Napataje mkuu??? Nishaenda Office zao Mara 3 Ila bila kitambulisho Cha mzazi Cha NIDA au cheti Cha kuzaliwa wananiambia haiwezekani, Mimi cheti changu ninachoKama we mtanzania wa kuzaliwa utapata tu
Mbona watoto wa sahvi mnashindwa kujiongeza
Kwenye mambo wa wakadhawakadha
Ova
Kama we cheti cha kuzaliwa unachoNapataje mkuu??? Nishaenda Office zao Mara 3 Ila bila kitambulisho Cha mzazi Cha NIDA au cheti Cha kuzaliwa wananiambia haiwezekani, Mimi cheti changu ninacho
Hati ya kiapoSijaelewa avidavity Nini mkuu, Naomba nieleweshe
Kipindi najiandikisha sikutoa vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wala cha kwangu. Na wazazi hawakuwahi kuwa na kitambulisho kipindi hicho...nilijaza tu details zilizohitajika .Hati ya kiapo
Wazazi wako si hawana vyeti vya kuzaliwa
Kuonesha kma wamezaliwa tz
Ova
Zoezi likiwa mwanzoni ukifanya kuna kuwaga hakuna miyeyusho....Kipindi najiandikisha sikutoa vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wala cha kwangu. Na wazazi hawakuwahi na kitambulisho kipindi hicho...nilijaza tu details zilizohitajika .
Utaratibu ulikuja kubadili?