financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hapana sikuzaliwa naye mkuu, ila nilikua nampenda sana😪😪Kwanini unashindwa kumsahau, kwan umezaliwa nae?
Tafuta mwanaume mwingine
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Mkuu usione huu ujanja humu! Mimi ni mshamba tu😪😪 ahsante🤣🤣 na ujanja wote huo!
Pole lakini ila ha ha! Ila hehe..😁
Napenda vitu vinavyoumana..🤣Hapana sikuzaliwa naye mkuu, ila nilikua nampenda sana😪😪
Thank you mkuu and i tried several times but nashindwa. Ntajitahidi zaidi👏Jifungie chumbani kwako, simama mbele ya kioo, jitazame..
Tabasamu..
Kunja uso kama umekasirika..
Cheka...
Nyoosha mikono juu, shusha..
Simama wima huku bado ukijiangalia kwenye kioo..
Halafu jiulize..
Ni jambo gani kati ya hayo uliyafanya hapo juu halikulamilika eti kwa kuwa yeye hayupo kwenye maisha yako...
Kama lipo, kazi unayo...
Kama halipo, ina maana unaweza kufanya chochote pasipo yeye...
Kwani kabla ya kukutana naye ulikuwa unamuwaza? Je, hukuwa na furaha?
Kama jibu ni ndiyo, kazi unayo..
Kama jibu ni hapana, jua kuwa unaweza kuishi vizuri basipo yeye..
Na hata ukawa na furaha zaidi hata ukivyokuwa naye..
Ulizaliwa peke yako..
Just learn how to stop giving a fvck..
🤣🤣 Laleki kumbe humu mwatamba ila huko kumbe baharia wenzetu kaniliza huku..😂Mkuu usione huu ujanja humu! Mimi ni mshamba tu😪😪 ahsante
Ahsante japo kwa mda uliopita still bado ni kama jana tu🤷♂️Unaacha muda uamue.
Sawa Jaiter ila....😪😪😪Replacement...
Replacement...
Replacement my best.
Utasahau itabaki history... maisha ndo yalivyo .Ahsante japo kwa mda uliopita still bado ni kama jana tu[emoji2369]