mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Wadau Habari Za wakati huu!
Niende moja kwa moja kwenye maada, nimekuwa nikifanya survey katika maeneo flani huko mikoa ya nyanda za juu kusini na kugundua kuwa kuna malighafi nyingi ya miwa. Hivyo nimepata wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha sukari.
Hivyo naomba wenye ujuzi na hatua za kuanzisha kiwanda hiki wanipe mwongozo ili niufanyie kazi.
Ningependa pia kujua gharama za mashine na mambo mengine.
Karibuni kwa michango na maoni.
Niende moja kwa moja kwenye maada, nimekuwa nikifanya survey katika maeneo flani huko mikoa ya nyanda za juu kusini na kugundua kuwa kuna malighafi nyingi ya miwa. Hivyo nimepata wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha sukari.
Hivyo naomba wenye ujuzi na hatua za kuanzisha kiwanda hiki wanipe mwongozo ili niufanyie kazi.
Ningependa pia kujua gharama za mashine na mambo mengine.
Karibuni kwa michango na maoni.