Jinsi gani ya kuchanganya chakula cha mtoto?

Jinsi gani ya kuchanganya chakula cha mtoto?

tizo1

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
856
Reaction score
145
Habari za kazi madaktari?

Mtoto wangu amefikia umri wa kuacha kunyonya. Naombeni wataalamu mnifundishe jinsi ya kuchanganya UNGA WA LISHE YA MTOTO. Nataka ninunue vichanganyio mwenyewe.sitaki unga wa dukani.

MSAADA JAMANI
 
Huo UNGA WA LISHE YA MTOTO hauji na maelezo?
 
Mhh! mie simo mwaka huu, labda miaka mitatu nitakuwa na ufahamu juu ya hili wadau
 
Nenda kwa dr ndodi atakufundisha jinsi ya kuchanganya unga wa mtoto

- huu unao uzwa madukani hakuna kitu ni biashara tu pale, nenda atakufundisha the utakuwa unatengeneza mwenyewe
 
Vifaa,
Mahindi,mchele,karanga,mtama,soyabinzi,ngano,unga wamuhogo, vyote viwe kitukimoja, halafu wakati wa kupika uji, maziwa ndio maji, unapata lishe bora kwa mtoto, na hy ni uji, Sio ugali.
 
Vifaa,
Mahindi,mchele,karanga,mtama,soyabinzi,ngano,unga wamuhogo, vyote viwe kitukimoja, halafu wakati wa kupika uji, maziwa ndio maji, unapata lishe bora kwa mtoto, na hy ni uji, Sio ugali.
 
Asanten jamani kwa mawazo mazuri....mwenye ziada si vibaya akaweka michango yake.
 
Mahindi ya pepkoni, ulezi, soya beans, mtama, uwele, ngano,muhogo, karanga lkn zinasababishaga unga uvunde mapema, mchele ingawa nao unasababisha uji ukatike mapema. NB SOYA INATAKIWA IROWEKWE SIKU 2 THEN ITOLEWE MAGANDA YOTE NA IOSHWE NA MAJI SAFI ZAID YA MARA 8. unaweza pia ukaweka dagaa pika na maziwa fresh weka na siagi ya ngombe ukikosa weka mafuta ya alizeti au karanga. KILA LA KHERI
 
Mahindi ya pepkoni, ulezi, soya beans, mtama, uwele, ngano,muhogo, karanga lkn zinasababishaga unga uvunde mapema, mchele ingawa nao unasababisha uji ukatike mapema. NB SOYA INATAKIWA IROWEKWE SIKU 2 THEN ITOLEWE MAGANDA YOTE NA IOSHWE NA MAJI SAFI ZAID YA MARA 8. unaweza pia ukaweka dagaa pika na maziwa fresh weka na siagi ya ngombe ukikosa weka mafuta ya alizeti au karanga. KILA LA KHERI

asante sana.mtoto anatarajia kuacha ziwa tareh 5/1/12.Nadhani nishapata mwanga jinsi gani ya kuchanganya chakula.SITAKI NIMPE LISHE ISIYO NA UTAALAM.NDO MANA NIMEKUJA JUKWAANI.
Asante wataalam wangu!Si vibaya kwa yoyote mwenye cha kuongezea amwage hapa.
 
Mahindi ya pepkoni, ulezi, soya beans, mtama, uwele, ngano,muhogo, karanga lkn zinasababishaga unga uvunde mapema, mchele ingawa nao unasababisha uji ukatike mapema. NB SOYA INATAKIWA IROWEKWE SIKU 2 THEN ITOLEWE MAGANDA YOTE NA IOSHWE NA MAJI SAFI ZAID YA MARA 8. unaweza pia ukaweka dagaa pika na maziwa fresh weka na siagi ya ngombe ukikosa weka mafuta ya alizeti au karanga. KILA LA KHERI

Loh!!
Huo mchanganyiko wote ni mlo mmoja?Mtoto hawezi akavimbiwa kweli?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
loh!!
Huo mchanganyiko wote ni mlo mmoja?mtoto hawezi akavimbiwa kweli?

asije akanizidi uzito....nadhani huyo nh mzazi na anajua kasema nini...inapendeza
 
asante sana.mtoto anatarajia kuacha ziwa tareh 5/1/12.Nadhani nishapata mwanga jinsi gani ya kuchanganya chakula.SITAKI NIMPE LISHE ISIYO NA UTAALAM.NDO MANA NIMEKUJA JUKWAANI.
Asante wataalam wangu!Si vibaya kwa yoyote mwenye cha kuongezea amwage hapa.

Hatutaki jua lini anaacha ziwa aiseee
 
asije akanizidi uzito....nadhani huyo nh mzazi na anajua kasema nini...inapendeza

Nimeuliza kwasababu nimeona watoto wengi wakikuzwa hata mie naweza sema nimekuza ila kuchanganya vitu vingi hivyo sijawahi ona wala sithubutu.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom