ni rahis, siku ya kwanza utakapopata hedhi ndo unaanza kuhesabu moja,kwavile umesema unapata siku tatu unapata hedhi,inamana baada ya hizo siku tatu dam itakatika,then hesabu mpaka utakapokuja kuona dam tena,yani hiyo hedhi,utakua umejua jumla ya siku zako katika mzunguko wako wa mwezi....