wicalumtata
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 329
- 109
If you're serious kunywa nusu Lita ya maji ya moto kila asubuhi yaliyochanganywa na vijiko vi4 vya asali na kipande cha ndimu au limao ukipata na mdalasini pia ni poa
wanajamvi naomben mnielekeze vyakula ama dawa ambazo zitaweza kunisaidia kupunguza mafuta ktk mwili wangu, maana nmeambiwa na mafuta mengi sababu ya kutokwa na vitu vyeupe kwenye matundu ya vinyweleo sehemu za usoni, shingon, kifuan ,mgongon na mabegani. Alafu usoni ,kifuani na mgongoni kuna vipele vinaniota mara kwa mara.
If you're serious kunywa nusu Lita ya maji ya moto kila asubuhi yaliyochanganywa na vijiko vi4 vya asali na kipande cha ndimu au limao ukipata na mdalasini pia ni poa
Akizidisha sana hizo acid inaweza kumletea dalili za vidonda vya tumbo so ahakikishe anakula pia asikae na njaa huku akitumia asali maji moto na ndimu ni hatari
View attachment 174172
Mkuu, hiyo namba 3 na namba 5 ndiyo mwisho wa matatizo yako...fika pale Million Hairs Salon ili upate maelezo zaidi.
Kwanza utapimwa na kifaa maalumu...na mkishakubaliana utaanza clinic na tatizo lako litakwisha. Lakini jipange.
Tumia MRT complex
wanajamvi naomben mnielekeze vyakula ama dawa ambazo zitaweza kunisaidia kupunguza mafuta ktk mwili wangu, maana nmeambiwa na mafuta mengi sababu ya kutokwa na vitu vyeupe kwenye matundu ya vinyweleo sehemu za usoni, shingon, kifuan ,mgongon na mabegani. Alafu usoni ,kifuani na mgongoni kuna vipele vinaniota mara kwa mara.
tuelekeze kuhusu hiyo