huwezi kuingia bandarini kama sio Clearing Agent.Habari wakuu?
Naomba niende kwenye hoja ya msingi,
Kuna mzigo nimeagiza kutoka china, sasa umekaribia kufika... wakati nafikiria jinsi ya kuutoa bandarini, nikakumbuka kuna kipindi lilitoka tamko kuwa mtu mwenyewe(nikimaanisha mwenye mzigo) ana uwezo wa kufanya clearance ya mzigo wake mwenyewe bila ya kutumia agent...
Ishu ya msingi inakuja hapa, je hyo ishu ni kweli inafanyika? Na kama inafanyika, je hatua ni zipi?
Na kama haifanyiki, je niangalie vigezo gani kumchagua agent?
Naombeni msaada wenu katika kujua hili...
Asanteni.
Naomba kujua hawa agents kama wana website maana namimi natarajia kuingiza mzigo.huwezi kuingia bandarini kama sio Clearing Agent.
Habari wakuu?
Naomba niende kwenye hoja ya msingi,
Kuna mzigo nimeagiza kutoka china, sasa umekaribia kufika... wakati nafikiria jinsi ya kuutoa bandarini, nikakumbuka kuna kipindi lilitoka tamko kuwa mtu mwenyewe(nikimaanisha mwenye mzigo) ana uwezo wa kufanya clearance ya mzigo wake mwenyewe bila ya kutumia agent...
Ishu ya msingi inakuja hapa, je hyo ishu ni kweli inafanyika? Na kama inafanyika, je hatua ni zipi?
Na kama haifanyiki, je niangalie vigezo gani kumchagua agent?
Naombeni msaada wenu katika kujua hili...
Asanteni.
Mkuu,
huwezi kuingia bandarini kama sio Clearing Agent.