Jinsi Habari Muhimu za Tanzania Zinavyopatikana kwa Bei Kubwa


Pleez,overgeneralization sio kitu kizuri sana kama unataka hoja ibebe uzito unaostahili.Kufanya reference kwenye chanzo kingine cha habari sio dhambi alimradi mtumia reference akatamka bayana iwapo kuna umuhimu wa kufanya hivyo.Let's be honest,ThisDay/Kulikoni wameibua mambo mengi ambayo baadhi yetu tumekuwa tuki-copy na ku-paste hapa JF,kama ambavyo nao wanavyoipa heshima JF kuwa chanzo cha habari.How do you know kama baadhi members wa JF sio waandishi wa magazeti hayo?

Wazo la subscription ni zuri lakini linaweza kumwingiza mtu kwenye matatizo ya kisheria.Kama alivyosema mchangiaji mmoja,sidhani kama hao waungwana watakuwa tayari kuona bidhaa zao (taarifa zao za uchunguzi) zinashushwa thamani (in terms of price) kwa kuwekwa hadharani bure buleshi.
 

..hiyo uliyoi-quote inasomeka...hawa wanaoingia hapa bure..kuchangia ni muhimu...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…