Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 667
- 1,582
Wakuu Habari zenu. Nina kisa hiki siwezi kisahau muda mwingine nikikumbuka nacheka. Kuna Manzi mmoja ofisini tulikuwa idara tofauti katika tasisi moja muhimu Dar es salaam
Basi nilivutiwa nae nikawa nampenda sana na nilijitahidi kila ambacho angekitaka Urahis kwake kazini nampambania, aliwahi kujaribu kuomba uhamisho kazini kweli nilikuwa kitengo hicho kweli nilichekecha akahama
Kumbe kule alikohamia alikuwa Ana mwamba mwingine nikatonywa Basi njiapotezea sababu nlikuwa nampenda na yeye akafahamu na muda mwingine nikimgusia ananiambia Mimi ni rafiki yake (friend zone) na namba ya simu aliyonipa niwasiliane ilikuwa kiswaswadu nilikuwa namuona Ana smart lakini akaniambia huwa haitumiagi hata WhatsApp hayupo active
Basi nikaacha nikaendelea na maisha yangu akawa akikaa muda Ana nicheki kunisalimia tu then anapotea,
Basi bwana nikala teuzi kazini nikawa bosi wake 🤣🤣🤣🤣alipopata taarifa karudi spidi hadi anamkandia huyo mshikaji hamjali hamzingatii Mara anataka anitoe Out, Ali Niambia hatumii smartphone majuzi kanitext yaani anaforce king hatari yaan simu za kunijulia hali Mara anataka aongee na bi mkubwa wangu.
Basi namuangalia tu najichekea, Bahati kanikuta good boy otherwise unatembea nae then unamuacha sababu wanawake anapokosa msimamo huwa wanatumika sana hasa huku makazini
Basi nilivutiwa nae nikawa nampenda sana na nilijitahidi kila ambacho angekitaka Urahis kwake kazini nampambania, aliwahi kujaribu kuomba uhamisho kazini kweli nilikuwa kitengo hicho kweli nilichekecha akahama
Kumbe kule alikohamia alikuwa Ana mwamba mwingine nikatonywa Basi njiapotezea sababu nlikuwa nampenda na yeye akafahamu na muda mwingine nikimgusia ananiambia Mimi ni rafiki yake (friend zone) na namba ya simu aliyonipa niwasiliane ilikuwa kiswaswadu nilikuwa namuona Ana smart lakini akaniambia huwa haitumiagi hata WhatsApp hayupo active
Basi nikaacha nikaendelea na maisha yangu akawa akikaa muda Ana nicheki kunisalimia tu then anapotea,
Basi bwana nikala teuzi kazini nikawa bosi wake 🤣🤣🤣🤣alipopata taarifa karudi spidi hadi anamkandia huyo mshikaji hamjali hamzingatii Mara anataka anitoe Out, Ali Niambia hatumii smartphone majuzi kanitext yaani anaforce king hatari yaan simu za kunijulia hali Mara anataka aongee na bi mkubwa wangu.
Basi namuangalia tu najichekea, Bahati kanikuta good boy otherwise unatembea nae then unamuacha sababu wanawake anapokosa msimamo huwa wanatumika sana hasa huku makazini