Ndarakishe
Member
- Sep 9, 2024
- 6
- 8
Habari wanajamvi,
Wilaya ya Kilombero eneo la Ifakara limekumbwa na wimbi la MATAPELI WA MTANDAONI maarufu kama halohaloo. Tumejaribu kila njia kuripoti katika vyombo vya usalama lakini hakuna hatua zozote zinachukuliwa dhidi ya MATAPELI Hawa..
Cha kusikitisha polisi wilaya ya Kilombero haswa OCD wamewageuza kama vitega uchumi, wanawakamata na kuwaachia bila hata kuwafikisha mahakamani kwa kuwachaji fedha Kati ya elfu 80 Hadi 100,000.
Vijana Hawa wakiongozwa na kiongozi wao maarufu wa biashara hiyo ya utapeli kwa jina MAISHA, amekuwa akijitapa kuwaweka mfukoni polisi na vyombo vyote vya usalama hawana cha kuwafanya.
Hawajifichi wala hawaogopi yeyote, ni wengi mnoo kiasi kwamba ni kama vile hakuna serikali wilayani Kilombero.
Maeneo yaliokithiri ni LUMEMO, MAHUTANGA, KIKWETA, NA HASWA MAKAO YAO MAKUU NI ENEO LA LUMEMO KIJIWE CHA MADUKA MATATU AU KWA SAMSAM
Wamekuwa wakibaka, kupora na kutishia usalama wa wananchi katika maeneo hayo. Cha kushangaza vijana wote wanafahamika na wote wanaoendesha genge Hilo na uhalifu likiongozwa na kijana aitwae MAISHA, Udindo, Libao na wengine wengi sana.
Kama wananchi tunaomba msaada Serikalini ktk ngazi za mkoa au taifa maana kwangazi hii ya wilaya wameshindwa.
Wilaya ya Kilombero eneo la Ifakara limekumbwa na wimbi la MATAPELI WA MTANDAONI maarufu kama halohaloo. Tumejaribu kila njia kuripoti katika vyombo vya usalama lakini hakuna hatua zozote zinachukuliwa dhidi ya MATAPELI Hawa..
Cha kusikitisha polisi wilaya ya Kilombero haswa OCD wamewageuza kama vitega uchumi, wanawakamata na kuwaachia bila hata kuwafikisha mahakamani kwa kuwachaji fedha Kati ya elfu 80 Hadi 100,000.
Vijana Hawa wakiongozwa na kiongozi wao maarufu wa biashara hiyo ya utapeli kwa jina MAISHA, amekuwa akijitapa kuwaweka mfukoni polisi na vyombo vyote vya usalama hawana cha kuwafanya.
Hawajifichi wala hawaogopi yeyote, ni wengi mnoo kiasi kwamba ni kama vile hakuna serikali wilayani Kilombero.
Maeneo yaliokithiri ni LUMEMO, MAHUTANGA, KIKWETA, NA HASWA MAKAO YAO MAKUU NI ENEO LA LUMEMO KIJIWE CHA MADUKA MATATU AU KWA SAMSAM
Wamekuwa wakibaka, kupora na kutishia usalama wa wananchi katika maeneo hayo. Cha kushangaza vijana wote wanafahamika na wote wanaoendesha genge Hilo na uhalifu likiongozwa na kijana aitwae MAISHA, Udindo, Libao na wengine wengi sana.
Kama wananchi tunaomba msaada Serikalini ktk ngazi za mkoa au taifa maana kwangazi hii ya wilaya wameshindwa.