Jinsi ilivyokuwa Linah akipelekwa Leba alipokuwa na Uchungu wa Kujifungua

Duniani kila binadamu ana baya lake,usijisumbue kuongelea mabaya ya wengine ni vyema ukayatangaza maovu yako kwanza na mwisho wa Siku atoaye hukumu ni M/Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekatazwa kuhukumu hatujakatazwa kutambua mwenzetu anapokwenda kinyume.

Wote sisi hufanya machafu ila hiyo haihalalishi kujitangaza.

Nikasema, ama ulimwengu au mimi ndiyo haumuelewi mwenzie
 
Tumekatazwa kuhukumu hatujakatazwa kutambua mwenzetu anapokwenda kinyume.

Wote sisi hufanya machafu ila hiyo haihalalishi kujitangaza.

Nikasema, ama ulimwengu au mimi ndiyo haumuelewi mwenzie
Jaribu kutamka hii kwa sauti
Yaani hujaolewa, umezini na anaendelea kutamba.......tamka na lile neno la mwisho kufurahia moment za uzinzi wako!
Je ni Lina pekee ndie mzinzi wewe hujawahi kufanya zinaa? Je maneno hayo ukiyaweka katika hali ya matamshi ukawa unamwambia mwingine si ni sawa na kumuhukumu? Ashakum si matusi ila wewe mwenyewe unaweza kua ni mmoja wa watoto uliyepatikana kwa zinaa! Subhakheri kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushuzi wa kuku...

Kama ungetaka tujue kila kitu ungetuonesha na namna ulivyokuwa unadinyana wakati wa kumtafuta huyo mtoto...
 
Mama sijakwambia kama mimi msafi ila nimesema uchafu wa wengi hauhalalishi kujitangazia machafu yako.

Nimepoint, sijahukumu.

Shughulika na maandishi yangu usinishambulie mwandishi.
 
Msanii wetu pendwa Esterlina Peter Sanga almaarufu officiallinah amejifungua mtoto wa kike na hivi ndivyo ilivyokuwa kabla ya kujifungua alipokuwa anapelekwa Leba.


Hongera sana Malkia wa Nguvu Linah Sanga kwa Mtoto


Mbona kawa mweusi ghafla, kulikoni?
 
Mastar wa bongo na upuuz
Wao wakuiga kila kitu

Ngoja sku wazungu wakiamua kujifungulia
Nje ya leba public
Na,nyie muige vizr

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kazaa wa kike
Itakuwa bahati mbaya kama akiiga tabia zake
 
Ushamba tuu umemjaa,ndo mambo ya kutuletea haya,kila mama angekuwa anapost alivokuwa anaenda leba,seva zingejaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…