Kenya 2022 Jinsi laana ya kuunga mkono Udikteta wa Magufuli ilivyomwangusha Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Mpaka ujifungue mimba ya mwenda utakuwa umetema mate sana.
Wenzio hukaa na ndimu au embe bichi, udongo wa pemba haukusadii[emoji2][emoji2]
 
Raila angeenda kusinzia tu Ikulu.

Lakini, Mungu anasingiziwa tu.
 
Odinga alikua na Baraza lake la mawaziri tayari, eti Joho waziri wa Ardhi, Oparanya Waziri wa Fedha, Mzee alijisahau sana.
 
Wajumbe 4 wa IEBC kujitoa si hoja maana yale matokeo hayakuhitaji Kura zao kama wajumbe
 
[emoji2936][emoji2936]
 
Odinga Alisha anza tembea kama rais wa kenya ,ila Mungu ananguvu Sana,akalee wajukuu sasa
 
Sema chadema mnapenda kutembelea tu upepo kwa kila tukio hamtaki kupitwa.

Odinga kakosa uchaguzi hii ni mara ya 5 sijui sijui umeanza kuzifatilia siasa za kenya 2022.

Una heshima sana hapa JF sio kila hoja unaanzisha kwa kutegemea kuna wajinga wana kushabikia kwa kila uzi.
 
Chadema yenyewe ipo wapi kwa sasa ni kama hakunaga chama cha siasa
Watu tuchape kazi maisha ni haya haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…