Jinsi majina ya Wanaume yanavyobadilika kutokana na uongozi

nanawoo

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
1,309
Reaction score
1,270
WANAUME NA ENZI ZETU!
Enzi za [HASHTAG]#Mwalimu[/HASHTAG] wanaume tulipewa majina stahiki kama vile
MUME WANGU au BABA WATOTO

Enzi za [HASHTAG]#Mwinyi[/HASHTAG] wanaume tuliitwa MABWANA utasikia mwanamke ana muhadisia mwenzie kapata [HASHTAG]#Bwana[/HASHTAG].

Enzi za [HASHTAG]#Mkapa[/HASHTAG] wanaume tukaitwa MABUZI
Mwanamke ana msimulia mwenzake nime pata [HASHTAG]#Buzi[/HASHTAG].

Enzi za [HASHTAG]#Kikwete[/HASHTAG] tukapewa majina mazuri na matamu hata ukisikia unafurahi moyoni,
[HASHTAG]#Baby[/HASHTAG], Darling,sweety,Honey na mengine mengi.

Enzi hii ya [HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] sasa!
Pesa hazionekani wanaume tume vurugwa maisha magumu
Wanatuita [HASHTAG]#WAHENGA[/HASHTAG]
Wanawake wa Bongo Mungu anawaonaaaa.

Wanaume kwa Vile Pesa Ngumu,tuna kauli yetu tunakwambia
Mwanaume [HASHTAG]#MASHINE[/HASHTAG]
Dadeki mta elewaa tuuuh!


*Watu Bwana* [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee nina bahati kuitwa majina yote hayo!
 
Hivi wanaume wa Dar ni awamu gani vile!?

Kada wa kwenye CCM mpya
 
Hiyo heading yako umeisoma jinsi ulivyochapia?

Eti EANAUME.

YANAVOBADILIKA ? hicho sio kiswahili andika Yanavyobadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…