Jinsi matatizo ya Congo yamegawanyika mapande manne ambayo ni magumu sana kuyatatua

Jinsi matatizo ya Congo yamegawanyika mapande manne ambayo ni magumu sana kuyatatua

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Baada ya kuufuatilia mgogoro wa Mashariki ya Congo-DRC sasa ninaweza kusema mgogoro huo umegawanyika katika robo nne.

1. Robo ya kwanza ni siasa kabisa-hapa kuna tatizo la siasa za uraia wa mipakani, ukabila na genocide ya Rwanda. Hili tatizo ni la muda mrefu tangu uhuru, limezungumziwa sana na Nyerere, Mandela, Mbeki na Kikwete.

2. Robo ya pili ni maslahi ya kiuchumi-Hapa iko Rwanda, DRC, Uganda, mafisadi wa serikali ya DRC na makampuni ya madini ya nje kila mmoja akipigania maslahi yake huku majeshi yakitumika kama nyenzo tu. Pia yapo maslahi ya uchumi ya raia wa DRC mashariki ambo ardhi yao inaporwa na kila pande kwa ajili ya uchimbaji madini.

3. Robo ya tatu ni udhaifu wa serikali ya DRC kushindwa kudhibiti nchi nzima(weak state). Sehemu yoyote isiyo na udhibiti au yenye ombwe lazima itajazwa tu na wadau wengine wawe wazuri au wabaya.

4. Robo ya nne ni udhaifu jumuiya za kikanda za SADC, Africa Mashariki pamoja na AU kushughulikia matatizo ya wanachama wake sio DRC tu lakini karibia kote Africa.
 
Baada ya kuufuatilia mgogoro wa Mashariki ya Congo-DRC sasa ninaweza kusema mgogoro huo umegawanyika katika robo nne.

1. Robo ya kwanza ni siasa kabisa-hapa kuna tatizo la siasa za uraia wa mipakani ukabila na genocide ya Rwanda. Hili tatizo ni la muda mrefu tangu uhuru, limezungumziwa sana na Nyerere, Mandela, Mbeki na Kikwete.

2. Robo ya pili ni maslahi ya kiuchumi-Hapa iko Rwanda, DRC, Uganda, mafisadi wa serikali ya DRC na makampuni ya madini ya nje kila mmoja akipigania maslahi yake majeshi yakitumika kama nyenzo tu. Pia yapo maslahi ya uchumi ya raia wa DRC mashariki ambo ardhi yao inaporwa na kila pande kwa ajili ya uchimbaji madini.

3. Robo ya tatu ni udhaifu wa serikali ya DRC kushindwa kudhibiti nchi nzima(weak state). Sehemu yoyote isiyo na udhibiti au ombwe lazima itajazwa tu na wadau wengine wawe wazuri au wabaya.

4. Robo ya nne ni udhaifu jumuiya za kikanda za SADC, Africa Mashariki pamoja na AU kushughulikia matatizo ya wanachama wake sio DRC tu lakini karibia kote Africa.
Robo ya tano mikataba ya Lomera aliyosaini Kabila na Rwanda na Uganda
 
1. Robo ya kwanza ni siasa kabisa-hapa kuna tatizo la siasa za uraia wa mipakani ukabila na genocide ya Rwanda. Hili tatizo ni la muda mrefu tangu uhuru, limezungumziwa sana na Nyerere, Mandela, Mbeki na Kikwete.
Hili likitatuliwa hayo mengine yatadhoofika sana.
 
Afrika kumejaa viongozi wabinafsi,hizo jumuiya za kikanda ndo bure kabisa.

"Wape Waafrika bunduki uone watakavyo anza kuuana wenyewe kwa wenyewe"Botha
Jumui lama AU, EAC, SADC ni sawa na hakuna kitu😅😅
Members wake wanamatatizo yalayale yanayofanana kama Ufisadi, utawala mbovu, ukandamizaji kwa raia, Wizi wa pamoja na mabeberu wao.

Tofauti ni vile Wacongo wameaamua kuweka resistance. .....otherwise hakuna wa kumcheka mwingine.
 
Baada ya kuufuatilia mgogoro wa Mashariki ya Congo-DRC sasa ninaweza kusema mgogoro huo umegawanyika katika robo nne.

1. Robo ya kwanza ni siasa kabisa-hapa kuna tatizo la siasa za uraia wa mipakani ukabila na genocide ya Rwanda. Hili tatizo ni la muda mrefu tangu uhuru, limezungumziwa sana na Nyerere, Mandela, Mbeki na Kikwete.

2. Robo ya pili ni maslahi ya kiuchumi-Hapa iko Rwanda, DRC, Uganda, mafisadi wa serikali ya DRC na makampuni ya madini ya nje kila mmoja akipigania maslahi yake majeshi yakitumika kama nyenzo tu. Pia yapo maslahi ya uchumi ya raia wa DRC mashariki ambo ardhi yao inaporwa na kila pande kwa ajili ya uchimbaji madini.

3. Robo ya tatu ni udhaifu wa serikali ya DRC kushindwa kudhibiti nchi nzima(weak state). Sehemu yoyote isiyo na udhibiti au ombwe lazima itajazwa tu na wadau wengine wawe wazuri au wabaya.

4. Robo ya nne ni udhaifu jumuiya za kikanda za SADC, Africa Mashariki pamoja na AU kushughulikia matatizo ya wanachama wake sio DRC tu lakini karibia kote Africa.
Yote hayo yatafanyika endapo kutakuwepo na uchaguzi mpya wa raisi kusahihisha matokeo ya uchaguzi wa 2018.
 
Jumui lama AU, EAC, SADC ni sawa na hakuna kitu😅😅
Members wake wanamatatizo yalayale yanayofanana kama Ufisadi, utawala mbovu, ukandamizaji kwa raia, Wizi wa pamoja na mabeberu wao.

Tofauti ni vile Wacongo wameaamua kuweka resistance. .....otherwise hakuna wa kumcheka mwingine.
SADC wamesema nini kipya kwenye kikao chao huko Zimbabwe?
 
Yote hayo yatafanyika endapo kutakuwepo na uchaguzi mpya wa raisi kusahihisha matokeo ya uchaguzi wa 2018.
Hapana, hii nakataa. Mstokeo ya uchaguzi wa Congo uliomleta Felix, hautofautiani sana na chaguzi za Tanzania, Rwanda, Uganda, Zimbabwe, msumbiji.........
 
Back
Top Bottom