Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ahahah ya shuleSasa wewe kutokuwa mwandishi mzuri tunalaumu mazingira?
ishuuAu sio, haya DJ walete watoa povu kwa amapiano naomba walete kwa umlando
Naomba nikushauri mm kama mwanamazingira ..Unapoleta hoja usijigambe au kujikweza na kuonyesha mapungufu yako kama ulivyoanza nanukuu"Sio mwaandishi mzuri ila nimesoma"Sio mwaandishi mzuri ila nimesoma.
Mazingira ni kichocheo kimona wapo cha tabia ya mtu hivyo alivyo ni kutokana na mazingira yamemfanya hawe ivyo alivyo.
Kuna watu tunawalaumu watu kuwa wanatabia mbovu ila ni kwamba tabia walizo nazo ni mazingira yamewashape ivyo.
Nini nataka kusema just respect mtu atakama anaongea pumba au uwezo wake wa kufikir ni mdogo just respect ni udhaifu wake ila unaweza mbadirisha na ukitaka kumbadirisha mtu jaribu kwaza kuheshimu yale mawazo yake aone unamuheshimu ndipo unaweza mbadirisha nenda nae pole pole.
Usitumie udhaifu wake kama fimbo.
Naomba nikushauri mm kama mwanamazingira ..Unapoleta hoja usijigambe au kujikweza na kuonyesha mapungufu yako kama ulivyoanza nanukuu"Sio mwaandishi mzuri ila nimesoma"
Leta hoja nasi wanajukwaa tutatoa mitazamo yetu.Remember Nobody is perfect na Elimu ni bahari tunajifunza kila siku