Kwani huyu ndio alitaka kumnywa supu?Jamal kashongi anasemaje kwan?
Yule naye kiherehere tuu. Ila ilikuwa bahati mbaya. CIA wamekomalia ishu ya Khashogi kwasababu alikuwa mtu wao.Jamal kashongi anasemaje kwan?
Kumbe ni mikono ya damu? ndio maana anakumbatia mabeberuHuielewi Royal families za Saudi
Hao wana historia ya kupinduana na hata kuuwana
Hii nafasi ya Ufalme aliekuwa next ni ndugu yake wa damu mfalme ambae alikuwa Crown Prince na MBS kachukua hiyo title kibabe kwa baraka za baba yake na akmuweka kizuizini baba yake mdogo na pia binamu zake na Mfalme Salman
Umesahau alipowafunga Mawaziri na wafanyabiashara wakubwa eti kwa heshima kidogo aliwafungia Ritz Carlton Hotel zaidi ya elf moja na kuwaambia kutoka lazima kila mmoja alipe hela nyingi sana ili aachiwe na alikusanya Billions of $s
Mohamed Bin Naïf ndio alikuwa Crown Prince na ndio angekuwa Mfalme ila huyu dogo kachukuwa kibabe
Visasi wanavyo sana na ipo siku watampiga shaba tena ndugu wa karibu sana
Kumbuka Prince Faisal bin Musaid alikuwa ni nephew wa Mfalme Faisal lakini jamaa alimtwanga risasi na kumuuwa ndugu yake King Faisal mwaka 1975
History repeats itself
Tayari Dogo ameshawadhibiti zamani na kustabilize his grip on Power. Hata yule mlinzi wa karibu wa baba yake King Salman aliyeaminika alikula shaba mwaka juzi kwa kuleta za kuleta. Hakuna wa kukohoa kwa MBS pale sasa hivi everything is under control. Prince Jajif naye kawekwa ndani.Huielewi Royal families za Saudi
Hao wana historia ya kupinduana na hata kuuwana
Hii nafasi ya Ufalme aliekuwa next ni ndugu yake wa damu mfalme ambae alikuwa Crown Prince na MBS kachukua hiyo title kibabe kwa baraka za baba yake na akmuweka kizuizini baba yake mdogo na pia binamu zake na Mfalme Salman
Umesahau alipowafunga Mawaziri na wafanyabiashara wakubwa eti kwa heshima kidogo aliwafungia Ritz Carlton Hotel zaidi ya elf moja na kuwaambia kutoka lazima kila mmoja alipe hela nyingi sana ili aachiwe na alikusanya Billions of $s
Mohamed Bin Naïf ndio alikuwa Crown Prince na ndio angekuwa Mfalme ila huyu dogo kachukuwa kibabe
Visasi wanavyo sana na ipo siku watampiga shaba tena ndugu wa karibu sana
Kumbuka Prince Faisal bin Musaid alikuwa ni nephew wa Mfalme Faisal lakini jamaa alimtwanga risasi na kumuuwa ndugu yake King Faisal mwaka 1975
History repeats itself
Jamaa namkubali sana ktk falsafa zakeInakuwaje wanajamvi!
Bwana mdogo Mohammed Bin Salman mwana wa mfalme wa Saudi sasa hivi anaipaisha nchi yake kiuchumi nje ya Mafuta kwa kasi ya ajabu na hatarii haijawahi kuonekana.
. Viwanda vinachipuka kama uyoga. Wa saudia sasa hivi bidhaa nyingi hawanunui au kuagiza kutoka nje zinazalishwa ndani.
Mfano vyakula, nguo, vinywaji zamani waliagiza kutoka nje lakini sasa hivi kwa wingi vinazalishwa nchini Saudi Arabia.
Miezi iliyopita Dogo alisitisha mara moja uagizwaji wa nyama ya Ng'ombe, kondoo, mbuzi na kuku kutoka Brazil na turkey na kuanzisha viwanda hivyo nchini Saudi Arabia.
Kwa mfano Brazil ilipata hasara kubwa sana na kutuma waziri wao wa mambo ya nje kwenda kumuangukia bwana mdogo. Ilikuwa kampuni kubwa ya nyama Brazil mahsus tu kwa kupeleka nyama Saudia ambayo walikuwa wakichinja kiislam.
Dogo akaiwekea vikwazo Uturuki kutopeleka bidhaa saudia kwasababu ya tofauti zake na Rais Erdowan. Uturuki ikaathirika sana kiuchumi. Hadi sasa hivi wafanyabiashara wa Uturuki wanabadilish nembo za bidhaa na kudanganya zimetoka Oman nakuziingiza kwenye ardhi takatifu kinyemela.
Pia akaiwekea Lebanon vikwazo kwasababu ya kuweka madawa ya kulevya kwenye bidhaa nakuziingiza saudia. Lebanon hoi kiuchumi sasa hivi Imebidi ujumbe mzito uende Riyadh nakumuangukia bwana mdogo.
Sasa hivi bidhaa za Saudi Arabia kwaanzia nyama, maziwa, biskut, juice, matunda n.K vinapatikana kwenye shelves za supermarket ulaya kitu ambacho miaka ya nyuma haikuwepo.
Wasaudia sasa hivi wanachakarika vibarua ni wao kwenye makampuni kazi nyingi wanahodhi wao.
Pia utitiri wa vijana wa Saudi Arabia wamepelekwa nje kusoma Canada, Marekani, Australia na ulaya katika fani mbalimbali.
Kuna order za ndege nyingi MBS amefanya anataka saudia iwe na shirika la ndege kama Qatar na emirates.
Bwana mdogo anategemea sana ushauri wa kiuchumi kutoka kwa Tony Blair, David Cameron na wamagharbi wengine. Ametenga fungu kubwa la hela kwa hawa wa shauri na wamemuwezesha kufanya mageuzi makubwa katika uchumi wa ardhi takatifu. Ila hawa watu wa haki za binadamu wanawaandama sana.
Mwisho ni huu mji wa kipekee wa aina yake Neom ambao ujenzi unaendelea utaisha 2030. Yani utakuwa wa aina yake.
Sasa huku mafuta huku viwanda na huku utalii. SAUDI Arabia inachanja mbuga kiuchumi kila kukicha chini ya bwana mdogo mwenye maono na mchapa kazi Mohammed Bin Salman MBS!
View attachment 1994942
Saudi Arabia begins construction on the Line, 105-mile car-free 'linear city' of the future | Daily Mail Online
Saudi Arabia begins construction on 105-mile-long car-free city
Digging has begun for The Line, a 105-mile long series of urban areas along a central 'spine' in northwest Saudi Arabia. Developers predict the first residents will move in some time in 2024.www.dailymail.co.uk
Samahani sijakuelewa vizuri....Inakuwaje wanajamvi!
Bwana mdogo Mohammed Bin Salman mwana wa mfalme wa Saudi sasa hivi anaipaisha nchi yake kiuchumi nje ya Mafuta kwa kasi ya ajabu na hatarii haijawahi kuonekana.
. Viwanda vinachipuka kama uyoga. Wa saudia sasa hivi bidhaa nyingi hawanunui au kuagiza kutoka nje zinazalishwa ndani.
Mfano vyakula, nguo, vinywaji zamani waliagiza kutoka nje lakini sasa hivi kwa wingi vinazalishwa nchini Saudi Arabia.
Miezi iliyopita Dogo alisitisha mara moja uagizwaji wa nyama ya Ng'ombe, kondoo, mbuzi na kuku kutoka Brazil na turkey na kuanzisha viwanda hivyo nchini Saudi Arabia.
Kwa mfano Brazil ilipata hasara kubwa sana na kutuma waziri wao wa mambo ya nje kwenda kumuangukia bwana mdogo. Ilikuwa kampuni kubwa ya nyama Brazil mahsus tu kwa kupeleka nyama Saudia ambayo walikuwa wakichinja kiislam.
Dogo akaiwekea vikwazo Uturuki kutopeleka bidhaa saudia kwasababu ya tofauti zake na Rais Erdowan. Uturuki ikaathirika sana kiuchumi. Hadi sasa hivi wafanyabiashara wa Uturuki wanabadilish nembo za bidhaa na kudanganya zimetoka Oman nakuziingiza kwenye ardhi takatifu kinyemela.
Pia akaiwekea Lebanon vikwazo kwasababu ya kuweka madawa ya kulevya kwenye bidhaa nakuziingiza saudia. Lebanon hoi kiuchumi sasa hivi Imebidi ujumbe mzito uende Riyadh nakumuangukia bwana mdogo.
Sasa hivi bidhaa za Saudi Arabia kwaanzia nyama, maziwa, biskut, juice, matunda n.K vinapatikana kwenye shelves za supermarket ulaya kitu ambacho miaka ya nyuma haikuwepo.
Wasaudia sasa hivi wanachakarika vibarua ni wao kwenye makampuni kazi nyingi wanahodhi wao.
Pia utitiri wa vijana wa Saudi Arabia wamepelekwa nje kusoma Canada, Marekani, Australia na ulaya katika fani mbalimbali.
Kuna order za ndege nyingi MBS amefanya anataka saudia iwe na shirika la ndege kama Qatar na emirates.
Bwana mdogo anategemea sana ushauri wa kiuchumi kutoka kwa Tony Blair, David Cameron na wamagharbi wengine. Ametenga fungu kubwa la hela kwa hawa wa shauri na wamemuwezesha kufanya mageuzi makubwa katika uchumi wa ardhi takatifu. Ila hawa watu wa haki za binadamu wanawaandama sana.
Mwisho ni huu mji wa kipekee wa aina yake Neom ambao ujenzi unaendelea utaisha 2030. Yani utakuwa wa aina yake.
Sasa huku mafuta huku viwanda na huku utalii. SAUDI Arabia inachanja mbuga kiuchumi kila kukicha chini ya bwana mdogo mwenye maono na mchapa kazi Mohammed Bin Salman MBS!
View attachment 1994942
Saudi Arabia begins construction on the Line, 105-mile car-free 'linear city' of the future | Daily Mail Online
Saudi Arabia begins construction on 105-mile-long car-free city
Digging has begun for The Line, a 105-mile long series of urban areas along a central 'spine' in northwest Saudi Arabia. Developers predict the first residents will move in some time in 2024.www.dailymail.co.uk
Kusema kweli la Khashogi lilimpunguzia kasi. Ila sasa hivi amekua. Kwa upande mwengine kutawala Saudi Arabia inatakiwa uwe katili ili nchi iwe salama na ndio hilo bwana mdogo a alifanya. Na anaipaisha Saudi Arabia kwa kasi ya Rocket.Jamaa namkubali sana ktk falsafa zake
Apoingia tu madarakan akkaruhusu wanawake waendeshe magari kitu ambacho kilikuwa ni marufuku enzi za utawala wa baba yake, akaona kheri azame ktk mambo nyeti ....ila ili la jamal kashorghi
Na ndo inavotakiwa Kama kaweza kuwatuliza bas hawafai kuwa kings... Real kings strugles for the crownTayari Dogo ameshawadhibiti zamani na kustabilize his grip on Power. Hata yule mlinzi wa karibu wa baba yake King Salman aliyeaminika alikula shaba mwaka juzi kwa kuleta za kuleta. Hakuna wa kukohoa kwa MBS pale sasa hivi everything is under control. Prince Jajif naye kawekwa ndani. View attachment 1995050
Meaning Of Saudi [emoji1210]nenda katafute then uje hapa tenaInakuwaje wanajamvi!
Bwana mdogo Mohammed Bin Salman mwana wa mfalme wa Saudi sasa hivi anaipaisha nchi yake kiuchumi nje ya Mafuta kwa kasi ya ajabu na hatarii haijawahi kuonekana.
. Viwanda vinachipuka kama uyoga. Wa saudia sasa hivi bidhaa nyingi hawanunui au kuagiza kutoka nje zinazalishwa ndani.
Mfano vyakula, nguo, vinywaji zamani waliagiza kutoka nje lakini sasa hivi kwa wingi vinazalishwa nchini Saudi Arabia.
Miezi iliyopita Dogo alisitisha mara moja uagizwaji wa nyama ya Ng'ombe, kondoo, mbuzi na kuku kutoka Brazil na turkey na kuanzisha viwanda hivyo nchini Saudi Arabia.
Kwa mfano Brazil ilipata hasara kubwa sana na kutuma waziri wao wa mambo ya nje kwenda kumuangukia bwana mdogo. Ilikuwa kampuni kubwa ya nyama Brazil mahsus tu kwa kupeleka nyama Saudia ambayo walikuwa wakichinja kiislam.
Dogo akaiwekea vikwazo Uturuki kutopeleka bidhaa saudia kwasababu ya tofauti zake na Rais Erdowan. Uturuki ikaathirika sana kiuchumi. Hadi sasa hivi wafanyabiashara wa Uturuki wanabadilish nembo za bidhaa na kudanganya zimetoka Oman nakuziingiza kwenye ardhi takatifu kinyemela.
Pia akaiwekea Lebanon vikwazo kwasababu ya kuweka madawa ya kulevya kwenye bidhaa nakuziingiza saudia. Lebanon hoi kiuchumi sasa hivi Imebidi ujumbe mzito uende Riyadh nakumuangukia bwana mdogo.
Sasa hivi bidhaa za Saudi Arabia kwaanzia nyama, maziwa, biskut, juice, matunda n.K vinapatikana kwenye shelves za supermarket ulaya kitu ambacho miaka ya nyuma haikuwepo.
Wasaudia sasa hivi wanachakarika vibarua ni wao kwenye makampuni kazi nyingi wanahodhi wao.
Pia utitiri wa vijana wa Saudi Arabia wamepelekwa nje kusoma Canada, Marekani, Australia na ulaya katika fani mbalimbali.
Kuna order za ndege nyingi MBS amefanya anataka saudia iwe na shirika la ndege kama Qatar na emirates.
Bwana mdogo anategemea sana ushauri wa kiuchumi kutoka kwa Tony Blair, David Cameron na wamagharbi wengine. Ametenga fungu kubwa la hela kwa hawa wa shauri na wamemuwezesha kufanya mageuzi makubwa katika uchumi wa ardhi takatifu. Ila hawa watu wa haki za binadamu wanawaandama sana.
Mwisho ni huu mji wa kipekee wa aina yake Neom ambao ujenzi unaendelea utaisha 2030. Yani utakuwa wa aina yake.
Sasa huku mafuta huku viwanda na huku utalii. SAUDI Arabia inachanja mbuga kiuchumi kila kukicha chini ya bwana mdogo mwenye maono na mchapa kazi Mohammed Bin Salman MBS!
View attachment 1994942
Saudi Arabia begins construction on the Line, 105-mile car-free 'linear city' of the future | Daily Mail Online
Saudi Arabia begins construction on 105-mile-long car-free city
Digging has begun for The Line, a 105-mile long series of urban areas along a central 'spine' in northwest Saudi Arabia. Developers predict the first residents will move in some time in 2024.www.dailymail.co.uk
Aruhusu pia dini zingine kama ukristo utamalaki saudia na nchi hiyo iwe na msimamo wa wastani wa kiislam
Jamaa namkubali sana ktk falsafa zake
Apoingia tu madarakan akkaruhusu wanawake waendeshe magari kitu ambacho kilikuwa ni marufuku enzi za utawala wa baba yake, akaona kheri azame ktk mambo nyeti ....ila ili la jamal kashorghi
Kumbe ni mikono ya damu? ndio maana anakumbatia mabeberu
Kwahiyo ng’ombe wanazalishwa viwandani?Inakuwaje wanajamvi!
Bwana mdogo Mohammed Bin Salman mwana wa mfalme wa Saudi sasa hivi anaipaisha nchi yake kiuchumi nje ya Mafuta kwa kasi ya ajabu na hatarii haijawahi kuonekana.
. Viwanda vinachipuka kama uyoga. Wa saudia sasa hivi bidhaa nyingi hawanunui au kuagiza kutoka nje zinazalishwa ndani.
Mfano vyakula, nguo, vinywaji zamani waliagiza kutoka nje lakini sasa hivi kwa wingi vinazalishwa nchini Saudi Arabia.
Miezi iliyopita Dogo alisitisha mara moja uagizwaji wa nyama ya Ng'ombe, kondoo, mbuzi na kuku kutoka Brazil na turkey na kuanzisha viwanda hivyo nchini Saudi Arabia.
Kwa mfano Brazil ilipata hasara kubwa sana na kutuma waziri wao wa mambo ya nje kwenda kumuangukia bwana mdogo. Ilikuwa kampuni kubwa ya nyama Brazil mahsus tu kwa kupeleka nyama Saudia ambayo walikuwa wakichinja kiislam.
Dogo akaiwekea vikwazo Uturuki kutopeleka bidhaa saudia kwasababu ya tofauti zake na Rais Erdowan. Uturuki ikaathirika sana kiuchumi. Hadi sasa hivi wafanyabiashara wa Uturuki wanabadilish nembo za bidhaa na kudanganya zimetoka Oman nakuziingiza kwenye ardhi takatifu kinyemela.
Pia akaiwekea Lebanon vikwazo kwasababu ya kuweka madawa ya kulevya kwenye bidhaa nakuziingiza saudia. Lebanon hoi kiuchumi sasa hivi Imebidi ujumbe mzito uende Riyadh nakumuangukia bwana mdogo.
Sasa hivi bidhaa za Saudi Arabia kwaanzia nyama, maziwa, biskut, juice, matunda n.K vinapatikana kwenye shelves za supermarket ulaya kitu ambacho miaka ya nyuma haikuwepo.
Wasaudia sasa hivi wanachakarika vibarua ni wao kwenye makampuni kazi nyingi wanahodhi wao.
Pia utitiri wa vijana wa Saudi Arabia wamepelekwa nje kusoma Canada, Marekani, Australia na ulaya katika fani mbalimbali.
Kuna order za ndege nyingi MBS amefanya anataka saudia iwe na shirika la ndege kama Qatar na emirates.
Bwana mdogo anategemea sana ushauri wa kiuchumi kutoka kwa Tony Blair, David Cameron na wamagharbi wengine. Ametenga fungu kubwa la hela kwa hawa wa shauri na wamemuwezesha kufanya mageuzi makubwa katika uchumi wa ardhi takatifu. Ila hawa watu wa haki za binadamu wanawaandama sana.
Mwisho ni huu mji wa kipekee wa aina yake Neom ambao ujenzi unaendelea utaisha 2030. Yani utakuwa wa aina yake.
Sasa huku mafuta huku viwanda na huku utalii. SAUDI Arabia inachanja mbuga kiuchumi kila kukicha chini ya bwana mdogo mwenye maono na mchapa kazi Mohammed Bin Salman MBS!
View attachment 1994942
Saudi Arabia begins construction on the Line, 105-mile car-free 'linear city' of the future | Daily Mail Online
Saudi Arabia begins construction on 105-mile-long car-free city
Digging has begun for The Line, a 105-mile long series of urban areas along a central 'spine' in northwest Saudi Arabia. Developers predict the first residents will move in some time in 2024.www.dailymail.co.uk
Tayari Dogo ameshawadhibiti zamani na kustabilize his grip on Power. Hata yule mlinzi wa karibu wa baba yake King Salman aliyeaminika alikula shaba mwaka juzi kwa kuleta za kuleta. Hakuna wa kukohoa kwa MBS pale sasa hivi everything is under control. Prince Jajif naye kawekwa ndani. View attachment 1995050
Anakuletea lini posa kwenu?Hapana mkuu nimesahihisha 2030. MBS siyo mchezo Aisee. Kafanya kufuru ya ndege za Boeing pamoja na Airbus 200. Pia imevuja anaongea na Elon Musk aanzishe Tesla kwenye ardhi takatifu.