Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Kwahiyo ng’ombe wanazalishwa viwandani?
Hawara ya bibi yako mzaa babu yako aliyekeketwa ukubwani kumpunguzia nyege kwa kugawa sana nadhani anajibu sahihi muulizeAnakuletea lini posa kwenu?
Ngamia wanao wengi sana. Ila mbuzi kondoo wanatoa Jordan na Somalia. Ng'ombe wanatoa Sudan, Eritrea na Ethiopia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hata aseme wananunua toka somalia
Mbuzi na Ngamia
Qatar wameweza kwa gharama kubwa sana baada ya kuwekewa vikwazo na hao Saudia na [emoji1256]
Wanasubiri kwa hamu sana hivyo vichupiWazungu wako na project zao kuwazamisha na kuwadissolve into european culture kiscience soon utaanza kuona vichupi na watu kula bia na full bata nyinginezo...
Hapana mkuu ni kwa artificial incemination kwenye fertile womb ya bibi yako mzaa babu yakoKwahiyo ng’ombe wanazalishwa viwandani?
Ni kweli mkuu toka zamani Ng'ombe wanaleta Saudia kutoka Sudan na Eritrea na Ethiopia. Mbuzi na kondoo wanaleta kutoka Somalia na jirani Jordan. Mbuzi na kondoo wengi wa hijaa au iddi ni kutoka Somalia na Jordan.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hata aseme wananunua toka somalia
Mbuzi na Ngamia
Qatar wameweza kwa gharama kubwa sana baada ya kuwekewa vikwazo na hao Saudia na [emoji1256]
Wanasubiri kwa hamu sana hivyo vichupi
Nilidhani nimeposti huu uzi kwenye jukwaa la International. Wala haina mihemko namkubaligi tu huyu dogo toka mwanzo ndo maana natumia picha yake kama avatarUzi upo kimihemko sana,
ingekua unayemsifia Ni wa hapa bongo ningekufananisha na wale wa mitano tena!
Umesema alipochukua madaraka..as if ni King tayari...King ni Baba yake..
Na kwa utamaduni wa Saudia Arabia yeye hapaswi kuwa next in line..
Halafu familia ina ma prince zaidi ya elfu nne..
Imagine that
Na mahari ni ng’ombe wangapi?Hawara ya bibi yako mzaa babu yako aliyekeketwa ukubwani kumpunguzia nyege kwa kugawa sana nadhani anajibu sahihi muulize
Si ndio yule anayeshutumiwa kufanya mauwaji kwa wakosoaji wake ikiwemo Jamal Kosugi?Killer!
Kusema kweli la Khashogi lilimpunguzia kasi. Ila sasa hivi amekua. Kwa upande mwengine kutawala Saudi Arabia inatakiwa uwe katili ili nchi iwe salama na ndio hilo bwana mdogo a alifanya. Na anaipaisha Saudi Arabia kwa kasi ya Rocket.
Sahihi....walimuua jamaa kikatili Sana.Si ndio yule anayeshutumiwa kufanya mauwaji kwa wakosoaji wake ikiwemo Jamal Kosugi?
Ngamia wanao wengi sana. Ila mbuzi kondoo wanatoa Jordan na Somalia. Ng'ombe wanatoa Sudan, Eritrea na Ethiopia