Huyu anajua nini kinaendelea Ulimwenguni. Kufuatia maazimiomengi kuhusu nishati ya ukaa, ni wazi biashara ya makaa ya mawe na mafuta ipo hatarini. Hivyo anachofanya ni Sawa kabisa. Anachukua tahadhari kabla ya hatari ijayo mbele. Kudos kwa kijana.
Kwahiyo kutokuvua viatu kwenye zulia ndio dalili ya mtu kupigwa?
Mkuu naona umekariri kua kwenye zulia lazima watu wavue viatu! haipo hivyo hasa kwa VIP.
Kwahiyo kutokuvua viatu kwenye zulia ndio dalili ya mtu kupigwa?
Mkuu naona umekariri kua kwenye zulia lazima watu wavue viatu! haipo hivyo hasa kwa VIP.