Dangote the advocate
Senior Member
- Sep 21, 2014
- 136
- 154
Ebu uje kwanza huku PM aiseeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Situka kalaliwa na kidume kingine kifuani
Acha ujinga, mtu atoke kupakwa Majivu kanisani then aje muende kufanya zinaa? Labda km hajui dini vizuri.
Subiri siku 40 za kwaresima atarudi tu!
Kumbe zinaa na pombe ni ruhksa baada ya kwaresma.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Bado siku 40 za kutokunywa pombe!..
Si ruhusaKumbe zinaa na pombe ni ruhksa baada ya kwaresma.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nasubiria majibu please, na ikinipendeza nihamie huko kwenye nyumba yenu ya ibada haki...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ongeza balimi moja ntalipaZa asubuh
Pm ndo nn mkuuuEbu uje kwanza huku PM aiseeee
La kwanza nitamuachia mwenzangu lakini la pili Tunaruhusiwa kunywa pombe mradi usitinge!..Karibu Mama wa makanisa yote yajiitayo ya kristo duniani!..Kumbe zinaa na pombe ni ruhksa baada ya kwaresma.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nasubiria majibu please, na ikinipendeza nihamie huko kwenye nyumba yenu ya ibada haki...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
baada ya kupakwa majivu unataka kenda wapi?Dar mapenzi haya huyu dada tuna mwezi .leo sasa tulipanga vizuri akitoka kwenye majivu kanisani tuonane tutoke. Ila mpaka sasa nikimpigia Simu hapokei. Hapa nilipo natamani ardhi ifunguke inizamishe