Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

nimekukubali mkuu wajinga ndo waliwao
 
Uzi wa ukweli.. Kuna vijana wengine sana wamemaliza vyuo wako mtaani wanasubiri ajira za Magu bila mafanikio.
 
Ni kijana wa kitanzania ambaye napambana sana katika maisha haya ya kila siku, nashindwa kushea na wadau hapa kwakua ukileta uzi wa maendeleo utaitwa mwizi ni tapeli na kukatisha tamaa hata kwa wengine.

Watakaotaka kujifunza kutoka kwako nalisema hili kwa uzoefu mkubwa sana kwa baazi ya mabandiko ya maendeleo niliyoyasoma hapa kwa mfano kuna bandiko lipo hapa la huyu mdau ONTARIO.

Mimi pia natamani sana kushea nanyi napata uoga wa hali ya juu sana kwakua mtu kama huyo anaetaka kutupatia maarifa kupingwa kwa nguvu kubwa kiasi kile. Je mimi ninaetaka kushea nanyi jambo langu la kheri ni mafanikio makubwa sana. Na nisiejua kujieleza vizuri sana kama ONTARIO nitabakia salama.

Hongera sana kwa kushea nasi ONTARIO na wengine wengi.
 
Wewe leta mada tushauriane, waropokaji wapuuze maana hao wapo kila mahala.
 
ila dogo uwe makini na afya yako maana naona tb kwako ipo nje nje.unywe maziwa sana
 
Viaz vikichanganyikiwa namm nitakuja kusini, niweke kwenye ratiba hii miez
 
Yote yanawezekana kinachotukwamisha wengi ni mtaji tu na uvumilivu
 
Nenda kaposti kwenye jukwaa la wajasiriamali huko
 
Mkuu weka mambo hadharani tujifunze kitu, watu vichwa maji kila mahali wapo, uwepo wa watu hao ndiyo ambao unaingezea ladha ya jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…