Jinsi nilivyomuokoa mzee mmoja na njama za kutaka kuuawa na kijana wake

Kwa hiyo hata mkewe na MTOto wake wamelimwa mvua
Miaka mngap?
 
Simulizi imetulia, ila hiyo kwenda kuwatafta madem WA seminary ya primary naona kama changa la macho
 
Tunasubiri muendelezo
 
Nilipoona tu seminary primary nimeacha kusoma
 
Hao mabinti zake hujala kimasihara hata mmoja ili uwe mkwewe?
 
Awali ya yoye nikupe pole kwa yote ulopitia hasa vibano na madhila mengne.
Pongez nying kwako kwa kuamua kutoa muda wako mwing kutuandikia haya.
Mungu akubariki kwa yale yote ulotushirikisha kwetu hiii ni elimu kubwa sana ambayo wakati mwingne tunainunua ila umeamua kutumia muda wako mwing kutupatia hii elimu bure.
Barikiwa sana mkuu
 
Kwahio kijana akaona njia pekee ya kutoboa ni yeye kumiliki mke na mali za baba ake shwain kweli acha aozee jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…