Jinsi nilivyomuokoa mzee mmoja na njama za kutaka kuuawa na kijana wake

Wewe uliingia Butimba Kwa ujambazi na kujua kila aliyeko mle ni jambazi?

Nkoi olengw'iibhi noolo kinehe? Nadokweelelagwa wamaayo
 
Kuna sehemu nimekutaja wewe hapo na kujibu kwa niaba yako mpuuzi wewe!
 
Hatari.
 
Umezingua
 
Hapo sio wewe uliemuepushia mzee na kifo.
1. Ni MUNGU tu aliemuepushia kifo,kwanza hakutaka huyo mzee afe kwa njia hiyo. Ndio maana yule mwenzio akakusingizia wewe unatembea na mke wa mzee,ili tu mtofautiana ili neno litimie
2. Mbinu za kivita za mzee mwenyewe zilimuokoa,ile purukushani alizokupitisha zile zilikutisha,mpaka bila kupenda wewe mwenyewe ukamwaga manyanga. Wewe ulikuwa tayari ukae kimya bila mbiringe za mzee mwenyewe
 
Mwambie mzee akuozeshe binti yake mmoja hapo,sina la ziada
 
Tunashukuru kwa kumalizia story
Umepata kazi baada ya kumaliza chuo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…