Jinsi nilivyoteswa na mama mkwe, alichoma vyeti vyangu vyote

Asante kwa ufafanuzi.
sasa huyu bwana mdogo tumshauri namna bora ya kutumia hizo hela, asije ajkajikuta anahonga zote kwa mashingingi wa magomeni, maana anaonekana bado ni mpweke na nafsi yake inahitaji tulizo na liwazo la kiuhakika.
 
Muwe mnaandika kwa kutumia aya.
Kwa kutumia simu, hukumbuki aya wala sura.
Pia nitoe pole kwa msiba uliyomfika broo, ni vikwazo ktk maisha ila unaweza kuvinda coz uko na nia. Usikate tamaa.
 
Rock issue ya vyeti ni sensitive tusilete utani na vyeti hawezi pata cheti nje ya document za kumusadia alihitimu elimu gani na mwaka gani. jamani tujaribuni kufikiria zaid jinsi ya kumsaidia
 
Hivyo vyeti ulivipatia wapi? Na huko ulikovipatia hawana/ hawatunzi nakala ambazo unaweza kwenda wakakupatia vivuli vyake kwa kulipa ada ndogo?
mkuu niwapi kama baraza nitolee hawakupi cheti labda chuo
 
Ebu jaribu kua serious kidogo we umesoma mpka university then unashindwa kujua ukipoteza vyeti utafanya nini ili uweze kutambulika kwa proffesional yako, haya bwana.
 
Ebu jaribu kua serious kidogo we umesoma mpka university then unashindwa kujua ukipoteza vyeti utafanya nini ili uweze kutambulika kwa proffesional yako, haya bwana.
<br />
<br />
Baraza la mitihani hawatoi tena vyeti. UDSM nimeripoti toka jumatatu, napigwa tu danadana hawaongei jambo lolote la kueleweka.
 

Pole sana, I cried when i read you post, i'm very sorry for what happen to you, how is you wife by the way? is she still with you? Its very difficult situation, they have spoil your life for what they have done, but believe in God things will turn good. I know nothing about bzns, i hope friends in here will tell you what to do, again POLE SANA.
 
Rock issue ya vyeti ni sensitive tusilete utani na vyeti hawezi pata cheti nje ya document za kumusadia alihitimu elimu gani na mwaka gani. jamani tujaribuni kufikiria zaid jinsi ya kumsaidia

Mkuu naomba nitofautiane na wewe
Chuo chochote kile wanatoa Certified Copy yaani huwezi tena pata original copy ya kile cheti ila wanakupa certified copy baada ya kutoa na kupeleka taarifa ya polisi inayoonyesha upotevu wa cheti husika either kwa moto, kupotea, wizi au janga lolote lile. Chuo au shule (tuseme baraza la mitihani) hawawezi kukunyima hata Certified Copy ya cheti chako iwapo umetoa taarifa za upotevu au kuharibika ambako hakuwezi kuwa repair na taarifa hizo kutangazwa kwenye vyombo vya habari kama magazeti. Ingekuwa hivyo wale wanaopoteza vyeti kwa kuunguliwa hata nyumba zao wasingekuwa na kitu cha kujustfy kuwa walikuw ana vyeti au waliwahi kupitia shule.
Mkuu naelewa cheti ni kitu sensitive sana ila huwezi ukawa blamed for something ambacho hujafanya au is beyond your control
 
Duuu! Lakini bado unaweza kupata vyeti vyako zingatia ushauri wanaokupa wana jf.
 
<br />
<br />
Baraza la mitihani hawatoi tena vyeti. UDSM nimeripoti toka jumatatu, napigwa tu danadana hawaongei jambo lolote la kueleweka.

Swala sio kureport swala ni je umekamilisha masharti maana wale wanapokea taarifa ya polisi na taarifa ya tangazo litakalotoka kwenye vyombo vya habari
Na kwa kuwa vyeti vyako vimechanwa taarifa utakayowapa polisi ni kuwa vimepotea au kuungua moto ili wakuandikie taarifa ambayo utaitangaza
Then UDSM wao wanachotaka ni taarifa ya polisi inayoonyesha sababu ya kuwasukuma wao watoe Certified Copy ya cheti chako
 
<br />
<br />
Hata mie mkuu nimepata wasiwasi M7 fasta hivyo kweli na wasiwasi naona shigongo anakosa vijana wa kazi wazuri sana
 
haiingii akilini mama mkwe achane vyeti kwa kesi ya sms moja tu
sasa akikuharibia maisha,huyo binti yake utaishi nae vipi??????
 
The Boss;<br />
<br />
Mambo ya mke na mama mkwe sio ya muhimu kwangu, kwasasa cha muhimu ni future yangu. Walisema sina mbele wala nyuma... Ngoja nitafute mbele na nyuma
<br />
<br />
Duuh pole sana mwana kweli inachoma kwa mwanaume kuambiwa huna mbele wala nyuma, ila kaza buti ndugu usije uka give-up, na kuhusu kazi ni bora ukaanza nakazi ambayo unaujuzi nayo...
 
haiingii akilini mama mkwe achane vyeti kwa kesi ya sms moja tu<br />
sasa akikuharibia maisha,huyo binti yake utaishi nae vipi??????
<br />
<br />
kuna watu wakiona tu dear wanajua ni mapenzi.
Sikulazimishi usadiki, nimeandika ili kupunguza sononi moyoni mwangu na msongo wa mawazo. Pia nilikuwa nahitaji ushauri wa namna ya kuinvest wisely my 7million
 
Chakufanya wakati una wait ufanye nn, mtafute kanumba then muuzie iyo script, unaweza pata kiasi cha mboga, ila mm haijaingia kwenye kichwa kabisa, ambae alitakiwa kufanya ivyo ni mkeo na si mama mkwe, mi nibigwa wakuandika story ilo nimegundua,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…